Je, unaweza kumshauri mwanao kuwa msanii?

Kutomlipa Man water haimaanishi Hilo million 4 Hana Kama ana uwezo wakulipa video zake anashindwa VIP hiyo hela?Haya tuambie hiyo negotion iliyofanyika Kati ya diamond na huyo jamaa?Ni kujitoa akili tu kubisha mafanikio ya diamond Me nakushauri tu acha ujuaji
 
Kama mtoto genius mwache awe msanii..FA ana masters..Nick wa pili masters..Maua Bacherol..na wengine kibao wana madigriii
 
Teh, Joslin nilisikia siku hizi ni muuza chips pale Sinza sijui kweli.
 
Huo ndo ukweli, ule usiriaz wa Vannesa umepungua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Teh, Joslin nilisikia siku hizi ni muuza chips pale Sinza sijui kweli.
[emoji1] Inawezekana kweli, mwenzie QJay kuna muda nilikuwa namuona Bukoba hana mbele wala nyuma, inasikitisha sana kuona big names za kipindi hicho tunakua leo hii mtaani wanaonekana kama vibaka, n' nobody cares abt them

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je kati ya maelfu ya wasanii waliowahi kufanya vizuri, tunaweza kuwa na listi ya wasanii angalau hata 200 wa kujivunia kwamba wameweza kusimama vizuri kimaisha kupitia sanaa (achana na hawa wadangaji[emoji1])

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unajua maisha ya wasanii wote?

Unajua wangekuwa na maisha ya namna gani kama wasingefanya saana.

Mr. Nice mbona hana maisha ya taabu saana. Kuna vijana wa kitanzania wenye umri sawa na Mr. Nice wanamaisha ya hovyo saana.
 
Wewe unajua maisha ya wasanii wote?

Unajua wangekuwa na maisha ya namna gani kama wasingefanya saana.

Mr. Nice mbona hana maisha ya taabu saana. Kuna vijana wa kitanzania wenye umri sawa na Mr. Nice wanamaisha ya hovyo saana.
Mr. Nice ni kati ya wachache waliobahatika kutoboa kupitia muziki, ni upumbavu wake tu ndo umemfanya kuwa hapo alipo leo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maisha ya wasanii ni magamu sana sio bongo tu hata mbele , starehe nyingi matumizi yanazidi kipato bila kua na management nzuri ya pesa mwisho hua ni majuto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mr. Nice ni kati ya wachache waliobahatika kutoboa kupitia muziki, ni upumbavu wake tu ndo umemfanya kuwa hapo alipo leo

Sent using Jamii Forums mobile app
Maisha hayapo hivyo... sio upumbavu ni maisha ndivyo yalivyo.

Mimi kwangu kila mmoja atafute riziki kwa njia anayoona inamfurahisha.

Unaona hawa kina dogo janja ni madogo wa kitaa tu kama unavyowaona wengine wanaoshinda vijiweni na kumoka wida.

Wameparangana mwisho life limekaa kidogo wanaweza kubadilisha mboga...kuna graduates wengi tu mitaani pamoja na kusoma miaka 16 darasani ila hawafikii maisha yao.

Acha waishi.....acha kila mmoja atafute riziki kwa njia anayoona inamfaa.

Maisha usiyatukane yanaweza kukuaibisha popote na katika umri wowote.
 
Maisha ya wasanii ni magamu sana sio bongo tu hata mbele , starehe nyingi matumizi yanazidi kipato bila kua na management nzuri ya pesa mwisho hua ni majuto

Sent using Jamii Forums mobile app
Sure hata mbele kufulia kupo ila nadhani kwa nchi zetu hizi wanafulia vibaya zaidi. Nakumbuka mbele kuna watu kama Jarule, Sisqo, Mase walitisha sana miaka ya 2000 mwanzoni na wakapotea mazima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini wao maisha yakiwapiga wanaumia zaidi kuliko sisi watu wa kawaida. Raha ya ustaa uwe na hela, yaani staa ukigombea daladala unanyooshewa kidole, ukipanda boda/Bajaj unanyooshewa kidole, ukila kwa mamantilie shida, ukifungua kibanda cha chips unaambiwa umefulia[emoji1], that's why wanaingia kwenye matumizi ya madawa ya kulevya kwakuwa wanakuwa na stress nyingi pindi mambo yanapowaendea kombo, tofauti na sisi watu wa kawaida hata ukifulia sio big deal zaidi ya kuhangaika na familia yako. Simshauri mwanangu kuwa msanii aisee...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mistari bado unaandika, vipi kuhusu kuchana bado unachana mkuu. maji yanafuata mkondo, mwanao akiwa msanii tutasema amerithi kwa baba daby

Sent using Jamii Forums mobile app
 
pumbavuuuu.............kumbe nabishana na bwege........kesi ya tangu mwaka jana na mpk leo iko mahakamani na bado unaniongelea utumbo
acha ushabiki then tutaongelea fact

barua ya mahakama iliwekwa public tangu NOV mwaka jana
 
Mistari bado unaandika, vipi kuhusu kuchana bado unachana mkuu. maji yanafuata mkondo, mwanao akiwa msanii tutasema amerithi kwa baba daby

Sent using Jamii Forums mobile app
Mie huwa nafanya kama namna ya kujifurahisha mkuu...kwangu ni starehe. Nilijikuta nafanya maana ndugu yangu wa karibu yupo humo.
 
nani kasema DIAMOND hana mafanikio mimi pia ni mmojawapo niliyeweka hela zangu kwenye moja ya project zake
......tofautisha kati ya GENERAL TERM"MAFANIKIO" na mamilioni ya feha...tusibishane ujinga.............kesi bado iko mahakamani na haijafungwa mpka sasa
 
Kaa utulie.............assume unamepanga nyumba na una hela mpaka za kuajiri watu waweza daiwa pango la nyumba unayoishi ya zaidi ya mwRAYVANNY naye kafukuzwa kwenye nyumba aliyokuwa anaishi kwa kushindwa kulip
Jifunze kuficha upumbavu wako kijana.Acha kuja hapa na habari za udaku kutoka blog uchwara ambazo huandika hbr za kusadikika zisizo kuw na fact kuhusu mastaa ili kukuza brand.Jiulize...Ikiwa Mond anadaiwa kiasi cha 400M, umeshaskia kesi yoyote mahakamani.?? na kama hakuna kesi tutaamini vipi kuwa anadaiwa kweli..?? au ndo unataka tuamini kua huenda anaedai kaamua kusamehe kiasi hicho cha fedha tena kwa mtu anaedai kuwa ana hela..??
Kuhusu Konde, amini kwamba hakuna nyumba iliyouzwa, ile ni business strategy ili kutafta huruma ya mashabiki.?? Rayvanny kafukuzwa kaenda wapi.?? acha uongo vanny bd yupo pale. Kuhusu huo mchanganuo wa fedha ulioweka hapo, labd ni wa biashara ya karanga au maandazi, mipango ya show ya mond haiko kipumbav hvy.
 
wekeza kwenye music industry kwanza...halafu tuje tuongee pumba vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…