Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Kwakweli Baba mie Sitaki.Why not, au baba mtu hutaki?
Vanessa Mdee - DegreeKama mtoto genius mwache awe msanii..FA ana masters..Nick wa pili masters..Maua Bacherol..na wengine kibao wana madigriii
Wapi Saida Karoli? Mr. Nice? Feruz? 20%? Z-Anto? Matonya? Marlaw? Afande? Daz Baba? OTen? Joslin? Caz T? Zay B? Sister P? Wagosi? Inspector? Dudubaya? Mwinjuma Muumin? Ally Choki? Badi Bakule? Banza Stone(kabla hajafa)? Ngwea (kabla hajafa)? Bambo? Norah? Kibakuli? Matumaini? Sinta? Nina?Johari? Na list ndefu inaendelea.... Hao ni baadhi tu ya wasanii waliowahi kufanya vizuri, je maisha yao kwasasa yakoje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio ninawezaMimi hapana kabisa.
Kibongobongo mwisho wa maisha ya ustaa kwa asilimia kubwa huwa mabaya sana ya kutia huruma.
Nimeanza kufatilia sanaa ya bongo (muziki/muvi) tangu miaka 90 mwishoni lakini hadi leo hii watu 'waliotoboa' kupitia sanaa zao ni wa kuhesabika.
Wengi wameishia kuwa maskini wenye majina makubwa na kugeuka kichekesho mbele ya jamii kiasi kwamba wanajuta kwanini waliwahi kuwa 'mastaa'.
Je, unaweza kumshauri mwanao kuwa msanii?
Sent using Jamii Forums mobile app
Utetezi dhaifu sana.Yeah! kwa jinsi teknolojia inavyokua wala sina wasi wasi kwamba sanaa itakuja kumlipa.
Ukimtazama Mr Nice wa enzi zake na Diamond wa sasa utagundua ni watu walio sawa ila Diamond anaonekana kufanikiwa kwa kuwa amewika kipindi ambacho teknolojia imekua ndio maana ameweza kuvuta mipaka mpaka duniani.
Hebu jaribu kuwaza Diamond bila youtube, instagram na the like, angeweza kutoboa mpaka Nigeria?
Wasanii wa enzi za Mr Nice walikua maarufu sana E.A kwa sababu ya ukaribu.
Hata wewe jiulize enzi za kina Mr Nice, je wasanii wa Nigeria walikua wanatamba huku kwetu? jibu
Sio kweli,Utetezi dhaifu sana.
Wakina Chris Brown Rihanna Lil Wayne wamewika duniani bila hata kupitia hayo ma youtube sijui instagram
Na agree ku disagreeSio kweli,
Unapozungumzia Chris Brown, Rihanna, Lil wayne and the like jua tayari umepanda daraja, hapo unakua unazungumzia FIRST CLASS ARTISTS.
Chukua hii, Mkuu wa mkoa wa Dar-es-salaam automaticaly ndie mkuu wa wakuu wote wa mikoa.
Turudi kwenye mada.
Msanii ambae anawika first world country atashindwa vipi kuwika third world country?(makonda akashindwe kutambulika katavi?)
Hao uliowataja haina haja hata ya kujitangaza kujulikana kwa sababu sisi tunawahitaji kuliko wao wanavyotuhitaji.
Hit song ya marekani ni lazima iwe hit song worldwide, je hitsong ya tanzania inaweza kuwa hitsong Us?(jamaa wana miiko na sheria/hili ni somo lingine pana sana)
Ukubali au ukatae, mitandao ya kijamii/ukuaji wa teknolojia ndio kitu pekee kilichosaidia kwa asilimia kubwa sana kufungua mipaka yetu kuliko kitu chochote, ndio kitu kilichosaidia wasanii wetu kuanza kuonja matunda ya sanaa zao mf malipo youtube n.k
Kuna kipindi nilimuona anajaji mashindano fulani ya kusaka vipaji na kina MonalisaNa yule dada wa kuitwa "Nyamayao" sijui wako wapi hawa watu. Tasnia ya burudani Tanzania haiko fair kabisa.
Na yule dada wa kuitwa "Nyamayao" sijui wako wapi hawa watu. Tasnia ya burudani Tanzania haiko fair kabisa.
Nadhani tatizo linakuwa ni kutokujipanga tu,kama wataelewa kuna maisha baada ya ustaa...na hakika hata akifirisikaje lazima atakuwa na usafiri,nyumba hata biashara ndogo ya kumuingizia kipato.Cha muhimu achukulie hali ya ustaa kama kazi na pia ajue kazi ina mwisho,kwa hiyo ajipange.Lakini wao maisha yakiwapiga wanaumia zaidi kuliko sisi watu wa kawaida. Raha ya ustaa uwe na hela, yaani staa ukigombea daladala unanyooshewa kidole, ukipanda boda/Bajaj unanyooshewa kidole, ukila kwa mamantilie shida, ukifungua kibanda cha chips unaambiwa umefulia[emoji1], that's why wanaingia kwenye matumizi ya madawa ya kulevya kwakuwa wanakuwa na stress nyingi pindi mambo yanapowaendea kombo, tofauti na sisi watu wa kawaida hata ukifulia sio big deal zaidi ya kuhangaika na familia yako. Simshauri mwanangu kuwa msanii aisee...
Sent using Jamii Forums mobile app