injinia muha jv
Member
- Jun 5, 2019
- 55
- 34
Jamani me ninauliza kama inawezekana mtu kusomea udaktari kwa kutumia cheti cha form four (yaan kuanzia diploma) na baadae kupata udaktari bila usumbufu.
Na kama inawazekana anatakiwa asomee course gani huyo mtu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kama inawazekana anatakiwa asomee course gani huyo mtu?
Sent using Jamii Forums mobile app