NIMO PRDCTZR
Senior Member
- Feb 10, 2016
- 146
- 83
Achukue diploma in electrical and bio medical engineering
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we jamaa ni mdhamini wa jf nini,maana kila Uzi lazima ukomenti hivi ...hahahah
Acha ubishi, hiyo ilikuwa zaman. Soma TCU guide book uoneMkuu mimi ninafahamu mtu mwenye diploma ya lab kwa sasa anapiga MD chuo cha private hapahapa nchini ase sio kwamba nabahatisha au nakisia.
Ko we unasema nisome koz gan sasaAhh mkuu Nursing ni nursing mpaka PhD lab ni lab pia huwez soma diploma ya lab uje kusoma nursing, pharmacy au md degree hapana halikadhalika huwez soma nursing diploma uje usome degree md NO.
Kama unataka kuwa daktari anza clinical medicine.. Diploma, degree gpa 3.5 unasoma Md safi na mkopo unapata
Anha nakushukuru mkuu akhsante sanaKama unataka kuwa daktari anza clinical medicine.. Diploma, degree gpa 3.5 unasoma Md safi na mkopo unapata
Ila ukitaka nursing basi ni nursing hadi phd
Pharmacy ni pharmacy hadi phd
Lab ni lab hadi phd,
Kwahyo kama malengo ni md soma clinical medicine
Aende high school, akasomee PCB, akipata Division one nzuri ni rahisi kupata admission.Ana C ya chem, B ya bio, C ya math na D ya phy je anaweza kusomea udaktari kwa cheti cha 4m 4
Nini tatizo? Mbona mtu anatoka form 6 ambako hana utaalam wowote na anasoma MD?Unaweza soma kozi nursing diploma na ukapiga Medical doctor????
Dogo langu lina B ya bios,B ya Phys na D ya Chem,vp nae anaqualify mkuu?Inawezekana ila zingatia baadae usije kusema tulikudanganya.
Itakupasa cheti cha form four uwe na
Biology C Minimum
Chemistry C Minimum
Physics D minimum
Sent using Jamii Forums mobile app
Daktari daktari tu.Ukumbuke kuwa Uhalisia Clinical Officer sio Madaktari (Physician). Wako katika kada ya Non-Physician Clinician. Ufaulu wako ukiwa CO unaweza kukupa nafasi ya kujiendeleza kusoma hadi kuwa daktari.
Yawezekana ameshaenda, AMETAGA.NIBORA UENDE ADVANCE COZ MATOKEO YAKO YANASHAWISHI''ila kama matokeo haya yana reflect your ability'' WENGI WANAPENDA SHORTCUT COZ WANAWASIWASI NA UWEZO WAO '' FOR ME NENDA A LEVEL MBELEN KUNAFURSA AMBAZO ZITAKULAZIMISHA UWE NA ADVANCE
Bila shaka hauko kwenye fani ya afya na kama uko basi ni CO huwezi sema vi majina tu na kujimwambafyDaktari daktari tu.
Vimajina majina ni ufahali tu wa kipimbavu wa Kujimwambafai, kujionesha una tofauti na watu wengine.
Mwalimu awe wa nursary, primary, secondary au chuo ni mwalimu tu.
Inawezekana kikubwa O level masomo ya PCB uwe umepiga minimum Alama C.Jamani me ninauliza kama inawezekana mtu kusomea udaktari kwa kutumia cheti cha form four (yaan kuanzia diploma) na baadae kupata udaktari bila usumbufu.
Na kama inawazekana anatakiwa asomee course gani huyo mtu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiwezekan kaka huwezi kusoma nersing ukaenda kada nyingineMkuu mimi ninafahamu mtu mwenye diploma ya lab kwa sasa anapiga MD chuo cha private hapahapa nchini ase sio kwamba nabahatisha au nakisia.
Chuo Gani hiko?Ndio inawezekana. Piga diploma ya clinical officer pata GPA Nzuri itakusaidia kwenye ushindani. Hata kwa kozi kama nursing nadhani ukipiga diploma unaweza kusomea udaktari degree(nadhani coz nursing ina msingu mzuri wa kuja kuwa daktari baadae).
Hata health laboratory sciences kwa chuo kimoja nakifahamu cha private ukisoma diploma unapiga vizuri degree ya Medical doctor (MD) bila tatizo na hi nimeiona na watu nawafahamu sio stori ya kuhadithiwa.sijajua kwa vyuo vya serikali mkuu lakini
Endelea kumdanganya mwenzako, akifata ushauri wako ameumia. Labda kwa vyuo nje ya nchiNdio inawezekana. Piga diploma ya clinical officer pata GPA Nzuri itakusaidia kwenye ushindani. Hata kwa kozi kama nursing nadhani ukipiga diploma unaweza kusomea udaktari degree(nadhani coz nursing ina msingu mzuri wa kuja kuwa daktari baadae).
Hata health laboratory sciences kwa chuo kimoja nakifahamu cha private ukisoma diploma unapiga vizuri degree ya Medical doctor (MD) bila tatizo na hi nimeiona na watu nawafahamu sio stori ya kuhadithiwa.sijajua kwa vyuo vya serikali mkuu lakini