CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,357
- 6,424
Unakeketa ili kutimiza mila zetu! Wanaume wengine hawaoi mwanamke hajakeketwa please! kama kutahili wanavyotimiza mila! Lakini Ulaya hawatahili na hawana magonjwa. be scientific please. Sema hizi ni mila za watu wanataka kuzifanya ziwe universal.Nikekete ili iweje, pamoja na madhara yooote bado watu wanakeketa pole zao....
Mwanaume kukaa na govi uchafu tu na risk ya kupata magonjwa
Hizo mila wabaki nazo tu wenye mila zao, mwanamke akikeketwa pababaki kama korongo....Unakeketa ili kutimiza mila zetu! Wanaume wengine hawaoi mwanamke hajakeketwa please! kama kutahili wanavyotimiza mila! Lakini Ulaya hawatahili na hawana magonjwa. be scientific please. Sema hizi ni mila za watu wanataka kuzifanya ziwe universal.
Salt, sijui kwa nini wanakeketa, lakini ni mila; nasikia wanakata kinembe kufisha hamu ya kufanya mapenzi ili mtoto wa kike asizini????(usinielewe vibaya, siungi mkono kukekektwa), ila nasema kutahili kuna nasaba kubwa na mila na wala sio biological drive as it is now propagated. Wao kutahili wanataka male organ iingie kwa urahisi kwenye female sex organ and not otherwise. Sawa kuna kutunza uchafu lakini that is how GOD??? made it!Hizo mila wabaki nazo tu wenye mila zao, mwanamke akikeketwa pababaki kama korongo....
Hivi sababu ya kukeketa huwa ni nini haswa? Achana na kutimiza tu mila kwanini wanakatwa?
Na sensitivity ya glans iliyotupu na iliyofunikwa na ngozi are quite different indeed! Glans iliyotupu inakuwa sio sensitive at all with friction anyway!Kuna mabinti wanaopenda mwanaume mwenye govi mkuu na hufurahia sana mapenzi,sio lazima wote tutahiriwe, experience the diference
Okay, sasa hao wakeketaji kama nia yao ni mabinti wasifanye dunia itaongezekaje sasaSalt, sijui kwa nini wanakeketa, lakini ni mila; nasikia wanakata kinembe kufisha hamu ya kufanya mapenzi ili mtoto wa kike asizini????(usinielewe vibaya, siungi mkono kukekektwa), ila nasema kutahili kuna nasaba kubwa na mila na wala sio biological drive as it is now propagated. Wao kutahili wanataka male organ iingie kwa urahisi kwenye female sex organ and not otherwise. Sawa kuna kutunza uchafu lakini that is how GOD??? made it!
Wewe umebobe kwenye ngono sikuwezi......Na senstivity ya glans iliyotupu na iliyofunikwa na ngozi are qiute different indeed! Glans iliyotupu inakuwa sio sensitive at all with friction anyway!
ukikeketwa ni kwamba unakuwa hauna hisia za mapenz kabsa kwa maana hiyo hauwez kucheat sasa ukiwa na mume unakuwa wafanya kumridhsha mume kisa umeolewa na ukiwa siku nzur mimba wapata unaongeza familiaOkay, sasa hao wakeketaji kama nia yao ni mabinti wasifanye dunia itaongezekaje sasa
Wafanye mapenzi pale wanaporuhusiwa na mila zao for reproduction only (perpetuation of the species) and not pleasure.Okay, sasa hao wakeketaji kama nia yao ni mabinti wasifanye dunia itaongezekaje sasa
kama unawaza kwenda kulitoa pole sana, hicho kitu ni muhimu mno maishani mwako usidanganywe kwenda kulitoa hautapata tena ladha ya chungwa.
kwanza na uzee wote huo limekuchosha nini? au kuna nini kimekusibu mkuu unless uwe na sababu za kitabibu kuwa ni lazima ulitoe. ila mimi nakushauri liache tu usije jutia huko mbele ya safari
Come on, this is a biological phenomenon labda kama hukusoma biology olevel! Angalia katika medical dictionary maana ya glans!Wewe umebobe kwenye ngono sikuwezi......
So nawewe haujaua nature eeehWafanye mapenzi pale wanaporuhusiwa na mila zao for reproduction only (perpetuation of the species) and not pleasure.
(for your information Salt, -orbiter: sensitivity ya glans iliyotupu na iliyofunikwa na ngozi are quite different indeed! Glans iliyotupu inakuwa sio sensitive when friction is applied during sex anyway!-kwa hiyo kutahili ni kuua nature)
Mmmh kazi ipoukikeketwa ni kwamba unakuwa hauna hisia za mapenz kabsa kwa maana hiyo hauwez kucheat sasa ukiwa na mume unakuwa wafanya kumridhsha mume kisa umeolewa na ukiwa siku nzur mimba wapata unaongeza familia
kazi sana yaanMmmh kazi ipo
Well said mkuu!!kama unawaza kwenda kulitoa pole sana, hicho kitu ni muhimu mno maishani mwako usidanganywe kwenda kulitoa hautapata tena ladha ya chungwa.
kwanza na uzee wote huo limekuchosha nini? au kuna nini kimekusibu mkuu unless uwe na sababu za kitabibu kuwa ni lazima ulitoe. ila mimi nakushauri liache tu usije jutia huko mbele ya safari
Why kill the nature for no pressing scientific reasons! Naona umesema eeehh! Salt unashangaa mila za watu, na wao watashangaa za kwako kwa nini hujakeketa!So nawewe haujaua nature eeeh
hatapata raha ya tendo tena na silaha itapungua urefu mkuu.Mwache atoe huo mzoga unataka afe nao ? Kiafya sio nzuri alitakiwa alitoe akiwa 10 yrs magonjwa mengi hasa ukimwi yanaingia kirahisi ukiwa nalo,pia ni uchafu
Mbona zetu hazipungui urefu?tena zinapenya fasts mkuuhatapata raha ya tendo tena na silaha itapungua urefu mkuu.