Mzalendo07
Member
- Feb 24, 2014
- 71
- 120
Kwa hiyo mkuu wale wanaosema nimecheza kwa buku nikapata M 50 HUWA wanatuzuga...
Mkuu ila Milioni 4 kisa BIKO tu ujue parefu aisee
Ni shida, wengine wanasema wale washindi ni watu wao wanapangwa sasa sijui ni kweliMie Ndio nikashangaa, imenipa maswali mengi kuhusu ukweli wa hii michezo , kwasababu haingii hakilini, Mtu kutumie ata laki 5 kwa wiki kucheza bahati na sibu ili ashinde millioni 50, ukipiga maesabu mpaka uje kushinda unaweza ukawwa umetumia hela nyingi kupita hiyo unayopata.
Mie KILIO changu , ni serikali kuangalia hii michezo na kuifuatilia kwa kina, sio tu mtu akiwa na vigezzo vya kupata leseni , inaishia apo , serikali jamani wajalini wananchi wake wasiiibiwe hela na matapeli.