Mzalendo07
Member
- Feb 24, 2014
- 71
- 120
Nimajibu ya mmoja wa washindi wa BIKO niliyopata kwa JINA namuifadhi, kwamba ili ushinde unabidi ucheze kwa kiasi kikubwa , yeye alikuwa anacheza mpaka millioni 4 kwanzia Jumapili hadi Jumatano, alafu anacheza millione kazaa tena kuanzia Alhamisi mpaka JUmamosi.
??????? KULIKONI????
??????? KULIKONI????