Je, unaweza kutumia Tsh 15,000 Hotelini Kwa Menyu ya Mchana tu? Toa mchanganuo wako hapa!!

Je, unaweza kutumia Tsh 15,000 Hotelini Kwa Menyu ya Mchana tu? Toa mchanganuo wako hapa!!

Magema Jr

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2020
Posts
1,299
Reaction score
1,197
Kuna jamaa ameshindwa kutoa mchanganuo wa Tsh 15000 tu kww menyu moja tu ya mchana hotelini,kabaki kunamby eti anaagiza sahani 6 za wali na nyama😂😂😂😂.

Je,unaweza kumaliza pesa hiyo kwa kuagiza menyu gani ya "kishua" Hotelini??[chakula ambacho unaweza kumaliza kwa hiyo 15000] Check menyu yangu:

• Nusu kuku -Tsh 7000
• Birian -2000
• Maji ya Kilimanjaro lita 1.5-1500
• Salad ya Matunda -2000
• Juice -0.5 lt(mixed fruit)-2000
• Jero namuachia mtoa vyombo!!😂😂😂

Haya ni wakati wako sasa,toa mchanganuo wako!!

#jr Misosi
 
15000 haifai hata kutoa mchanganuo unless uwe unakula kwenye mama ntilie
 
Kuna jamaa ameshindwa kutoa mchanganuo wa Tsh 15000 tu kww menyu moja tu ya mchana hotelini,kabaki kunamby eti anaagiza sahani 6 za wali na nyama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Je,unaweza kumaliza pesa hiyo kwa kuagiza menyu gani ya "kishua" Hotelini??[chakula ambacho unaweza kumaliza kwa hiyo 15000] Check menyu yangu:

• Nusu kuku -Tsh 7000
• Birian -2000
• Maji ya Kilimanjaro lita 1.5-1500
• Salad ya Matunda -2000
• Juice -0.5 lt(mixed fruit)-2000
• Jero namuachia mtoa vyombo!![emoji23][emoji23][emoji23]



#jr Misosi
Ungesema kwa wiki kabisa. Malegend wa kutumia 15,000/= ,kwa wiki tupo.
 
Elf 15 nayo ina mchanganuo kweli?
Hapo ni wali samaki na coke moja ya baridi, buku ni keep change kwa muhudumu
 
Kuna jamaa ameshindwa kutoa mchanganuo wa Tsh 15000 tu kww menyu moja tu ya mchana hotelini,kabaki kunamby eti anaagiza sahani 6 za wali na nyama😂😂😂😂.

Je,unaweza kumaliza pesa hiyo kwa kuagiza menyu gani ya "kishua" Hotelini??[chakula ambacho unaweza kumaliza kwa hiyo 15000] Check menyu yangu:

• Nusu kuku -Tsh 7000
• Birian -2000
• Maji ya Kilimanjaro lita 1.5-1500
• Salad ya Matunda -2000
• Juice -0.5 lt(mixed fruit)-2000
• Jero namuachia mtoa vyombo!!😂😂😂



#jr Misosi
Kila hoteli au restaurant ina menu yake na bei zake.
Hayo uliyoyataja unaweza usitakute kwenye baadhi ya hoteli nyingi tu
 
Kuna jamaa ameshindwa kutoa mchanganuo wa Tsh 15000 tu kww menyu moja tu ya mchana hotelini,kabaki kunamby eti anaagiza sahani 6 za wali na nyama😂😂😂😂.

Je,unaweza kumaliza pesa hiyo kwa kuagiza menyu gani ya "kishua" Hotelini??[chakula ambacho unaweza kumaliza kwa hiyo 15000] Check menyu yangu:

• Nusu kuku -Tsh 7000
• Birian -2000
• Maji ya Kilimanjaro lita 1.5-1500
• Salad ya Matunda -2000
• Juice -0.5 lt(mixed fruit)-2000
• Jero namuachia mtoa vyombo!!😂😂😂



#jr Misosi
Hiyo pesa unaweza umudu tuu kununua vitafunwa na soda au maji ukiingia Hotel za kweli. Kwenye mahotel mlo mmoja (simple menu) siyo chini ya US$ 15 ambayo ni sawa na TZS 35,000.

Ukienda kwenye migahawa mfano unapiga mwenu nzuri kwa TZS 6,000 (Pilao mbuzi, Biriani au mlo wowote wa kuku) na Juice nzuri ya 1,000 unabakiwa na pesa ya kesho
 
Kuna jamaa ameshindwa kutoa mchanganuo wa Tsh 15000 tu kww menyu moja tu ya mchana hotelini,kabaki kunamby eti anaagiza sahani 6 za wali na nyama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Je,unaweza kumaliza pesa hiyo kwa kuagiza menyu gani ya "kishua" Hotelini??[chakula ambacho unaweza kumaliza kwa hiyo 15000] Check menyu yangu:

• Nusu kuku -Tsh 7000
• Birian -2000
• Maji ya Kilimanjaro lita 1.5-1500
• Salad ya Matunda -2000
• Juice -0.5 lt(mixed fruit)-2000
• Jero namuachia mtoa vyombo!![emoji23][emoji23][emoji23]



#jr Misosi
Kama unazungumzia Chakula cha Hotelini basi unatakiwa kufahamu kuwa bila mbwembwe zozote 15,000/= Cash ni wali mbogamboga na viambata vyake kama Maji ndogo,tunda n.k au labda kama unazungumzia Cafeteria za huko Uswazi kwenu ndo utaanza kuagiza zaidi ya vitu vitatu kwa hela hiyo.
 
Mimi sio mpenzi wa Mahoteli maana ndiko vyakula bei ghali....

KFC Zinga wings kama sikosei ni elfu 9. Hapo juisi ni elfu 2500. Haujanywa maji....na ice cream ukiwa unaondoka.

Colonel burger nadhani ni elfu 12...bado juice na ice cream....15 000 ishakata hiyo.
 
Elf 15 nayo ina mchanganuo kweli?
Hapo ni wali samaki na coke moja ya baridi, buku ni keep change kwa muhudumu
daaah,uku home hiyo 15000 ni kama msala!! Unakula menyu ya maana na kusazaa
 
Back
Top Bottom