Je, unaweza kutumia Tsh 15,000 Hotelini Kwa Menyu ya Mchana tu? Toa mchanganuo wako hapa!!

πŸ‘πŸ‘
 
duuuhπŸ€”πŸ€”
 
hapo kwenye pilau mbuzi patammm mkuu
 
Mimi haizidi 4,500/= chakula changu . Tena Zege(Mishikaki miwili 2,500 zege+1000 Mishikaki) + Soda(500) + Hill water(500) hapo kama nina hamu na chips ila kama kawaida naagiza Pilau kwa Tsh 1,500/= na Hili water 500...Haizidi hapo ,Asubuhi ni Supu ya Buku jero na chapati mbili(2,100/= na Pepsi baridi 600 = 2,700/=) ,Usiku nakuwa home nakula ndizi bukoba mbili za kumchesha na kiazi mbatata kimoja +kipande cha sangara wa kuchemsha.(Sangara kipande buku+ndizi 500 kiazi 100 =1,600/)

Kwahiyo bajeti yangu ya siku ni kati ya elfu 6 hadi elfu 8.
 
Chips samaki na mirinda nyeusi, kahela kanaisha. Hotel hapo

Restaurant hela inatosha na chenji inabaki.
Kama ni ijumaa, Biriani kuku 6000
Wali samaki 7000
Chips mishikaki ya kuku 2 = 5000
Wali nyama 3000
Machalari 3000 nk
 
Me nakula kwa 1600 kwa siku nzima, naskip breakfast mchana nakula wali wa buku kwa mama ntilie, jion chapati 2 na chai ya rangi 100.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…