Je, unaweza pata mchubuko bila kondomu kupasuka?

Je, unaweza pata mchubuko bila kondomu kupasuka?

barracks

Senior Member
Joined
Aug 8, 2014
Posts
103
Reaction score
25
Wataalam wa hizi kazi naomba kuuliza

Hivi kuna uwezekano wa kutumia condom wakati wa tendo la ndoa na bado ukapata mchubuko hata kama condom haijapasuka?
 
Anaweza kupata michubuko kama ukeni kukavu sana ( uke hauna kilainishi chochote)
 
Back
Top Bottom