Je unaweza ukafanya urine culture na ukaambiwa hakukuna bacteria walioota na bado ukawa unasumbuka na U.T.I

Je unaweza ukafanya urine culture na ukaambiwa hakukuna bacteria walioota na bado ukawa unasumbuka na U.T.I

Wengi sana hapa tz mnaibiwa sana pesa zenu kwa kuambiwa unaumwa UTI....kweli wajinga ndiyo waliwao.
 
Hii imenitokea Kuna kajospital nimefanyanya culture watasema hakuna tatizo nikienda kwingine ni uti na dalili zipo Kuna hosptal hawajali afya za watu wanatuibia sana
 
Dawa ni kunywa maji kwa wingii mm mwaka namaliza uti Naisikia kwa jirani
Hii imenitokea Kuna kajospital nimefanyanya culture watasema hakuna tatizo nikienda kwingine ni uti na dalili zipo Kuna hosptal hawajali afya za watu wanatuibia sana
 
Back
Top Bottom