pelius laurent
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 331
- 601
OFFLINE ❌ ❌ 🥶
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁Nazo zipo karibuUnlimited Router ndiyo kila kitu
Ninayo mkuu ndiyo naitumia hapa ya 30Mbps.😁😁Nazo zipo karibu
How much per month?Ninayo mkuu ndiyo naitumia hapa ya 30Mbps.
110,000/=How much per month?
Hapo huwezi juta boss😁Ninayo mkuu ndiyo naitumia hapa ya 30Mbps.
tin ninayo ila nilishaiahau...😅JE UNATUMIA PESA NYINGI KUJIUNGA VIFURUSHI VIDOGOVIDOGO
Njoo ujipatie MENYU YA SME kutoka Airtel bure yenye vifurushi vyenye gharama nafuu Kujiunga.
MUHIMU SANA:
Mteja awe na balance ya kifurushi kimojawapo kati ya hivo 👇👇👇 na hiyo balance iwe kwenye muda wa maongezi
7gb......10,000 MWEZI
15gb....15,000 MWEZI
22gb....20,000 MWEZI
35gb....30,000 MWEZI
60gb....50,000 MWEZI
VIGEZO UWE NA TIN NUMBER
NOTE:
Mteja anajiunga mwenyewe kifurushi akitakacho
LAINI ZA UWAKALA ZIPO
AIRTEL MONEY....30,000
HALOPESA ......10,000
LIPA VODA...... 10,000
VIGEZO
❣️ TIN NUMBER KAMA HUNA NAKUTENGENEZEA BURE
kwa mawasiliano zaidi piga simu
0765400947
Mim naitwa PELI usisahau kunisave
🤣 waje tu hao starlink tuji linkHivi hizo tin number huwa zinawasaidia nini?
Kuna uhusiano gani wa mtu kuwa na tin number na kutumia kifurushi.
Mtanyooka tu ngoja starlink aingie, 10GB mtauza kwa sh 1500 bila tin number.
Waungie watu vifurushi waache story za tin na bla bla...tin ninayo ila nilishaiahau...😅
Mfumo wa TRA wa kuomba TIN si unaujua? Kama haujui nicheki nikusaidie kuipatatin ninayo ila nilishaiahau...😅
inakera sana hiyo ndude!Waungie watu vifurushi waache story za tin na bla bla...
weka link hapa nitafute mwenyeweMfumo wa TRA wa kuomba TIN si unaujua? Kama haujui nicheki nikusaidie kuipata
Waungie watu vifurushi waache story za tin na bla bla...
weka link hapa nitafute mwenyewe
Huna TIN naweza kukuombea au fika kwenye ofisi za TRAinakera sana hiyo ndude!