JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 685
- 1,124
Ingawa kila nchi ina muongozo wake wa Haki za Digitali, kuna miongozo ya jumla ambayo nchi zote zinafuata na ambayo ni:
Ulinzi wa faragha na data
Raia lazima wawe na udhibiti wa ni nani anayehifadhi data zao binafsi na kuweza kuzifuta wakati wowote wanapohitaji.
Ufikiaji wa jumla na sawa
Watu wanapaswa kuwa na uwezo wa kupata mtandao bila kujali kipato chao au eneo la kijiografia hii ni muhimu kwenye uhuru wa maoni.
Uhuru wa kujieleza
Haki hizi za kimsingi za binadamu zinakumbana na changamoto pale vinapotokea vizuizi kwenye mitandao ya kijamii au tovuti.
Haki ya kutokujulikana
Haki ya kutokujulikana na usiri wa mawasiliano inawekwa matatani haswa katika nchi ambazo zinakataza kutuma ujumbe na mawasiliano ya siri.
Ulinzi wa watoto
Serikali hazipaswi kuhakikisha tu ulinzi wa watoto kwenye mtandao, kama ilivyo kwenye ponografia ya watoto, lakini pia kuhakikisha kuwa watoto haki zao hazikiukwi.
Ulinzi wa faragha na data
Raia lazima wawe na udhibiti wa ni nani anayehifadhi data zao binafsi na kuweza kuzifuta wakati wowote wanapohitaji.
Ufikiaji wa jumla na sawa
Watu wanapaswa kuwa na uwezo wa kupata mtandao bila kujali kipato chao au eneo la kijiografia hii ni muhimu kwenye uhuru wa maoni.
Uhuru wa kujieleza
Haki hizi za kimsingi za binadamu zinakumbana na changamoto pale vinapotokea vizuizi kwenye mitandao ya kijamii au tovuti.
Haki ya kutokujulikana
Haki ya kutokujulikana na usiri wa mawasiliano inawekwa matatani haswa katika nchi ambazo zinakataza kutuma ujumbe na mawasiliano ya siri.
Ulinzi wa watoto
Serikali hazipaswi kuhakikisha tu ulinzi wa watoto kwenye mtandao, kama ilivyo kwenye ponografia ya watoto, lakini pia kuhakikisha kuwa watoto haki zao hazikiukwi.
Upvote
0