Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila kwa kifupi tu ni kwamba (Kwa mtazamo wangu)
Wanaofikia hatua ya kutunga majina ya aina hiyo (iwe kwa wanawake au wanaume) mara zote ni watu waliokosa maarifa na maisha yao hayana muelekeo, ni type ya watu wa vijiweni, wenye maneno ya majungu, masikini wa akili na mawazo, kazi yao kubwa ni kuchunguza maisha ya wengine na kuyatungia maneno . . .
Na kila siku utasikia majina mapya na mapya zaidi, hayana idadi.
nimekutana nayo by accident....lol
Naona haka ka system kakua na thread kwa chini ambazo za fanana na the original thread ambayo wa browse.... Nimeipenda saana.
What do you like about the topic Boss?
nothin....
entertaining a bit lol
Hivi sasa wee Boss sura yako ni ipi kati ya the mentioned? lol
i define ya denzel
yangu ni younger version yake lol
Naona bragging back to its Mkondo.... Denzel is an almost perfect version of a man... I wonder if he is the same in the suck!:biggrin:
well actually my women says
he is coming close to look like me....lol
Boss are you reasonably loaded?
tunazungumzia looks or loaded??lol
hebu kawapikie wtoto x mass leo.....lol
Ila kwa kifupi tu ni kwamba (Kwa mtazamo wangu)
Wanaofikia hatua ya kutunga majina ya aina hiyo (iwe kwa wanawake au wanaume) mara zote ni watu waliokosa maarifa na maisha yao hayana muelekeo, ni type ya watu wa vijiweni, wenye maneno ya majungu, masikini wa akili na mawazo, kazi yao kubwa ni kuchunguza maisha ya wengine na kuyatungia maneno . . .
Na kila siku utasikia majina mapya na mapya zaidi, hayana idadi.
ni kweli mi nakuunga mkono japo sijafanya official research lakini hii kitu ipo kabisa...kuna baadhi ya wanaume kulingana na tabia zao kama ulevi, umalaya, ukatili n.k ukiwaangalia sura zao kama unaweza kugundua kuwa wamefall katika tabia fulani kutokana na kudumu kwa muda mrefu katika tabia husika, na kama unajua phsycology hata wakati wa kuzungumza nae unaweza kutambua huyo mtu anatabia fulani...mimi personally naweza kutambua tabia ya mtu ninapokutana nae kwa mara ya kwanza wakati nikimtazama sura yake...anaebisha aje nimwambie lol:A S-baby: n.k ...