Je unazijua sura za wanaume?

Je unazijua sura za wanaume?

Ila kwa kifupi tu ni kwamba (Kwa mtazamo wangu)

Wanaofikia hatua ya kutunga majina ya aina hiyo (iwe kwa wanawake au wanaume) mara zote ni watu waliokosa maarifa na maisha yao hayana muelekeo, ni type ya watu wa vijiweni, wenye maneno ya majungu, masikini wa akili na mawazo, kazi yao kubwa ni kuchunguza maisha ya wengine na kuyatungia maneno . . .

Na kila siku utasikia majina mapya na mapya zaidi, hayana idadi.

Kwani ni uongo???
 
nimekutana nayo by accident....lol


Naona haka ka system kakua na thread kwa chini ambazo za fanana na the original thread ambayo wa browse.... Nimeipenda saana.

What do you like about the topic Boss?
 
Naona haka ka system kakua na thread kwa chini ambazo za fanana na the original thread ambayo wa browse.... Nimeipenda saana.

What do you like about the topic Boss?

nothin....
entertaining a bit lol
 
i define ya denzel
yangu ni younger version yake lol


Naona bragging back to its Mkondo.... Denzel is an almost perfect version of a man... I wonder if he is the same in the suck!:biggrin:
 
Naona bragging back to its Mkondo.... Denzel is an almost perfect version of a man... I wonder if he is the same in the suck!:biggrin:

well actually my women says
he is coming close to look like me....lol
 
Achen jokes huo ni uumbaji wa Mungu na c kutokana na hzo unwanted face with unreasonable reasons!
 
tunazungumzia looks or loaded??lol
hebu kawapikie wtoto x mass leo.....lol



Hahaha.... Your comment has told me umeelewa why i have said that.....lol....

Uzuri wa kua na mume muelewa.... Walau once in 6 months one evening hunisaidi jikoni....
 
mwanaume unatakiwa kuwa na sura nzito, chachu, ngumu wala si lelelege, mwanamke ndio anatakiwa kuwa na sura ya kulegea kwasababu yeye ndiye wa kulembua, akiwa na sura ngumu chachu atalembuaje, ukiona mwanamme ana sura ya kulembua kama demu ujue huyo ana genes za kidemu demu ana anaweza kuwa bwabwa.
 
Mwenye hii thread cjui wa kwako ana sura gani?
 
F. LADY mkimaliza kutuchambua sura mtashuka tu chini mtakuja kutuchambua vifua vyenye manyoya na visivyo, then vitovu vyetu kisha mtashuka Das-lam kunako Mwenge wa miaka 50 ya uhuru.
 
hahaha nimeangalia similar topics na hii thread,eti mojawapo ni ' unazijua mbinu wanazotumia CCM kushinda uchaguzi wa october 2010'...heehe how?
 
Ila kwa kifupi tu ni kwamba (Kwa mtazamo wangu)

Wanaofikia hatua ya kutunga majina ya aina hiyo (iwe kwa wanawake au wanaume) mara zote ni watu waliokosa maarifa na maisha yao hayana muelekeo, ni type ya watu wa vijiweni, wenye maneno ya majungu, masikini wa akili na mawazo, kazi yao kubwa ni kuchunguza maisha ya wengine na kuyatungia maneno . . .

Na kila siku utasikia majina mapya na mapya zaidi, hayana idadi.

Exactily, Wote tumeumbwa na Mungu ....uki judge sana ....Chaka
 
Sura nzito sio mbaya sana ila ndo kubwa mno kuliko umbile, ngumu, ni ya kawaida kwa umbile but mbaya balaa, telez ni handsome boy, chachu inakuwa ka haielewek mbaya bt ya mtu alochangamka sio bozo/mpole.
 
ni kweli mi nakuunga mkono japo sijafanya official research lakini hii kitu ipo kabisa...kuna baadhi ya wanaume kulingana na tabia zao kama ulevi, umalaya, ukatili n.k ukiwaangalia sura zao kama unaweza kugundua kuwa wamefall katika tabia fulani kutokana na kudumu kwa muda mrefu katika tabia husika, na kama unajua phsycology hata wakati wa kuzungumza nae unaweza kutambua huyo mtu anatabia fulani...mimi personally naweza kutambua tabia ya mtu ninapokutana nae kwa mara ya kwanza wakati nikimtazama sura yake...anaebisha aje nimwambie lol:A S-baby: n.k ...

mi nabisha
 
Back
Top Bottom