Wanajamvi
Nimeoa mwaka mmoja uliopita.Tumefanya juhudi za kupata mtoto mimi na wife wangu lakini bila mafanikio. Tulijaribu kumuona doctor akasema mke wangu ni mnene na kizazi chake kina mafuta mengi hivyo itakua ni vigumu kupata mimba. Sasa hivi ameanza mazoezi ya kukata uzito japo mafanikio bado ni madogo. Toka tumuone doctor it is about 4 months now na mpaka sasa amefanikiwa kupunguza only 2kg. Tulipomwona doctor alikua na kilo 85.
Swali langu ni je unene unaweza kumfanya mwanamke ashindwe kushika ujauzito. Mbona naona wanawake wengi ni wanene lakini wanashika mimba.
Ushauri wenu tafadhali.
Nimeoa mwaka mmoja uliopita.Tumefanya juhudi za kupata mtoto mimi na wife wangu lakini bila mafanikio. Tulijaribu kumuona doctor akasema mke wangu ni mnene na kizazi chake kina mafuta mengi hivyo itakua ni vigumu kupata mimba. Sasa hivi ameanza mazoezi ya kukata uzito japo mafanikio bado ni madogo. Toka tumuone doctor it is about 4 months now na mpaka sasa amefanikiwa kupunguza only 2kg. Tulipomwona doctor alikua na kilo 85.
Swali langu ni je unene unaweza kumfanya mwanamke ashindwe kushika ujauzito. Mbona naona wanawake wengi ni wanene lakini wanashika mimba.
Ushauri wenu tafadhali.