Mkuu mimi nikiipata naipiga bei ili nipate mtaji wa kilimo kwa hiyo suala la rangi sio ishu kwanguNadhani kila mtanzania ana matumaini ya kumiliki Noah. Mimi Noah yangu nilitamani sana siku nitakapo pewa iwe ya rangi ya silva halafu nyuma niandije maandishi long live jpm.
Je wewe ungependa Noah yako iweje kwani muda si mrefu neema inakuja Tanzania. Get prepared
Nadhani kila mtanzania ana matumaini ya kumiliki Noah. Mimi Noah yangu nilitamani sana siku nitakapo pewa iwe ya rangi ya silva halafu nyuma niandije maandishi long live jpm.
Je wewe ungependa Noah yako iweje kwani muda si mrefu neema inakuja Tanzania. Get prepared