karugila
JF-Expert Member
- Nov 6, 2014
- 1,275
- 685
Wana - jamiiforums kuna tetesi kwamba bia haina ya safari lager inapunguza nguvu za kiume.Rafiki yangu amekuwa akitumia kwa muda sasa.
Ananieleza kuwa uume wake umelegea sana.Akiwa na mpenzi wake wakibahatika ni round moja kajamaa kanafubaa. Je, kuna mti ana uzoefu kama huo?
Ananieleza kuwa uume wake umelegea sana.Akiwa na mpenzi wake wakibahatika ni round moja kajamaa kanafubaa. Je, kuna mti ana uzoefu kama huo?