Wana - jamiiforums kuna tetesi kwamba bia haina ya safari lager inapunguza nguvu za kiume.Rafiki yangu amekuwa akitumia kwa muda sasa.
Ananieleza kuwa uume wake umelegea sana.Akiwa na mpenzi wake wakibahatika ni round moja kajamaa kanafubaa. Je, kuna mti ana uzoefu kama huo?
Wana - jamiiforums kuna tetesi kwamba bia haina ya safari lager inapunguza nguvu za kiume.Rafiki yangu amekuwa akitumia kwa muda sasa.
Ananieleza kuwa uume wake umelegea sana.Akiwa na mpenzi wake wakibahatika ni round moja kajamaa kanafubaa. Je, kuna mti ana uzoefu kama huo?
Hakuna ukweli wowote! Mi nagonga safari miaka yote na game linapigwa kama kawa!
Wana - jamiiforums kuna tetesi kwamba bia haina ya safari lager inapunguza nguvu za kiume.Rafiki yangu amekuwa akitumia kwa muda sasa.
Ananieleza kuwa uume wake umelegea sana.Akiwa na mpenzi wake wakibahatika ni round moja kajamaa kanafubaa. Je, kuna mti ana uzoefu kama huo?
Duuh mkuu na wewe una kulaga bia ngumu hivi!
Aisee hii bia ndo naona iko poa kuliko zingine zote! Bia ya zamani kitambo sana zingine zimekuja juzi kati kizazi kipya dot com nikinywa hazinikolei mpaka nichanganye na konyagi!
Tumia Guinness ndio bia bora kabisa.