The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Siwezi kusoma bandiko la kipumbavu na kitoto,hizo porojo ulizoweka hapa na kuziita research!Soma bandiko vizuri uelewe jibu lako lipo hapo.
Siwezi kusoma bandiko la kipumbavu na kitoto,hizo porojo ulizoweka hapa na kuziita research!
Unajua maana ya research? hiyo research report yako iko wapi? where is ur reliable source ya hiyo reseach? punguza upumbavu
Sina shaka una tatizo la afya ya akili. Sasa kumbe hujasoma na unakaza mishipa hapa? ππSiwezi kusoma bandiko la kipumbavu na kitoto,hizo porojo ulizoweka hapa na kuziita research!
Unajua maana ya research? hiyo research report yako iko wapi? where is ur reliable source ya hiyo reseach? punguza upumbavu dogo.
Wakubwa hua tuna soma heading tu kisha tunajua kua haya ni matapishi kama matapishi mengine tuSina shaka una tatizo la afya ya akili. Sasa kumbe hujasoma na unakaza mishipa hapa? ππ
Hilo ndio tatizo la afya ya akili sasa π.Wakubwa hua tuna soma heading tu kisha tunajua kua haya ni matapishi kama matapishi mengine tu
Una upumbavu uliopitiliza,Hilo ndio tatizo la afya ya akili sasa π.
How come can you judge something which you do not understand in details? Baadhi ya wabongo ni wavivu wa kusoma ila ni mabingwa wa kukosoa hicho wasichokisoma na kukijua. Ukikaa kimya itakusaidia sn kuficha ujinga wako. Sitegemei uje kwa kupanic π
That's why Mungu hakuiweka siku ya kufa mtu wazi maana ingekuwa nishida tupu dunianiBora walete kwasababu itatupa muda wa kujiandaa vyema kwenye mambo mengi.
Actually kabisaaHuo nao ni utapeli mwingine
I repeat once again Kaa kimya kuficha ujinga wako na soma kwa makini unachoandika if it make sense then reply. Boss una shida ya akili.Una upumbavu uliopitiliza,
Huu uzi wako ni sawa na stori za kwenye vijiwe vya Bodaboda tu,
Hakuna reliable source ya hiyo habari wala hujaweka link ya result ya hiyo research,
Acha kukaza fuvu bado una safari ndefu sana ya kujifunza mambo,
Hii ni JF huwezi kuleta ka habari ka kujiandikia tu bila kuweka reliable source,
Basi hapo mwenyewe unajiona umeshusha bonge la uzi sio?
Hii takataka yako imedharaulika hapa,nishukuru mimi ndio nimejazia jazia comment hapa kidogo.I repeat once again Kaa kimya kuficha ujinga wako na soma kwa makini unachoandika if it make sense then reply. Boss una shida ya akili.
Hakuna lolote unaweza mwambia lililo nabukweli kuhusu kifo wewe,acheni ujuaji wa usio na tijaVichekesho?
Lete details zako tukwambie lini unaumaliza mwendo
Lete taarifa zako tukujuze acha kubwata bwataHakuna lolote unaweza mwambia lililo nabukweli kuhusu kifo wewe,acheni ujuaji wa usio na tija
Who told you to comment? ππHii takataka yako imedharaulika hapa,nishukuru mimi ndio nimejazia jazia comment hapa kidogo.
Halafu pia futa hizo comments zako tuone nini kitabadilika ππHii takataka yako imedharaulika hapa,nishukuru mimi ndio nimejazia jazia comment hapa kidogo.
Maandiko ya dini yako yanapingana na realityHii takataka yako imedharaulika hapa,nishukuru mimi ndio nimejazia jazia comment hapa kidogo.
AI ni majini modified to work in real world as TechnologyHello Good afternoon all,
Elina Tarkazikis anasema Artificial Intelligence (AI) inaweza kukupa majibu mengi mno hata yale usiyoyahitaji au kuyapenda. Anasema Artificial Intelligence Calculator inaweza kukwambia ni lini utakufa na akaongeza kuwa "it is deadly accurate..."π€
Katika andiko lake hilo lililochapishwa na mtandao wa Scripps News anasema kifaa kinachoitwa Life2vec au AI death calculator kinaweza kubashiri muda wako wa kuishi hii ni kutokana na utafiti uliofanywa kwa watu milioni 6 huko nchini Denmark tangu mwaka 2008.
Sune Lehmann mtafiti kiongozi anasema kuwa utafiti huo hutumia teknolojia ya ChatGPT kuchumbua maisha ya mtu kwa kuzingatia mtiririko wa matukio mbali mbali yanayotokea kwenye maisha yake. Hivyo basi watafiti hao kati ya mwaka 2008 na 2016 walifanya uchambuzi kwa kuzingatia mitindo mbali mbali ya maisha ya watu ndipo wakaja na hitimisho mwaka 2020 kwa kutumia kanuni ya algorithm kufahamu ni nani alifariki na Life2ve model ilitoa majibu yaliyokuwa sahihi kwa 78%, pungufu ya 22% iwe 100% accurate. π
Mpaka sasa, Life2vec imefanyiwa majaribio kati ya watu wenye umri wa miaka 35 na 65 nchini Denmark na nusu ya watu hao walifariki kwa namna kifaa hicho kilivyo bashiri.
Elina Tarkazikis anasema Life2vec is not yet available to the public. Je kifaa hicho kikiwa tayari kwa matumizi na kikaruhusiwa kutumika, Je utakitumia kujua ni lini utakufa??
Without regulating AI, it's another misery mistake.AI ni majini modified to work in real world as Technology
Bora hujasoma. Ni uongo mkubwa kwa kweli.Sijasoma mada ila nimesikitika sana