Je, upo tayari kujua tarehe yako ya kifo? AI death calculator inalo jibu

Soma bandiko vizuri uelewe jibu lako lipo hapo.
Siwezi kusoma bandiko la kipumbavu na kitoto,hizo porojo ulizoweka hapa na kuziita research!
Unajua maana ya research? hiyo research report yako iko wapi? where is ur reliable source ya hiyo reseach? punguza upumbavu dogo.
 
Siwezi kusoma bandiko la kipumbavu na kitoto,hizo porojo ulizoweka hapa na kuziita research!
Unajua maana ya research? hiyo research report yako iko wapi? where is ur reliable source ya hiyo reseach? punguza upumbavu

Siwezi kusoma bandiko la kipumbavu na kitoto,hizo porojo ulizoweka hapa na kuziita research!
Unajua maana ya research? hiyo research report yako iko wapi? where is ur reliable source ya hiyo reseach? punguza upumbavu dogo.
Sina shaka una tatizo la afya ya akili. Sasa kumbe hujasoma na unakaza mishipa hapa? πŸ˜„πŸ˜„
 
Wakubwa hua tuna soma heading tu kisha tunajua kua haya ni matapishi kama matapishi mengine tu
Hilo ndio tatizo la afya ya akili sasa πŸ˜„.

How come can you judge something which you do not understand in details? Baadhi ya wabongo ni wavivu wa kusoma ila ni mabingwa wa kukosoa hicho wasichokisoma na kukijua. Ukikaa kimya itakusaidia sn kuficha ujinga wako. Sitegemei uje kwa kupanic πŸ˜‘
 
Una upumbavu uliopitiliza,

Huu uzi wako ni sawa na stori za kwenye vijiwe vya Bodaboda tu,
Hakuna reliable source ya hiyo habari wala hujaweka link ya result ya hiyo research,
Acha kukaza fuvu bado una safari ndefu sana ya kujifunza mambo,
Hii ni JF huwezi kuleta ka habari ka kujiandikia tu bila kuweka reliable source,
Basi hapo mwenyewe unajiona umeshusha bonge la uzi sio?
 
Dunia inaenda Kasi Sana Kama huku ndo tumefikiaπŸ€”
 
Badala ya ule mdoli tungenunua hicho kifaa kwa ajili ya kuwapima wanaogombea ubunge kuepuka hasara ya chaguzi ndogo.
 
I repeat once again Kaa kimya kuficha ujinga wako na soma kwa makini unachoandika if it make sense then reply. Boss una shida ya akili.
 
I repeat once again Kaa kimya kuficha ujinga wako na soma kwa makini unachoandika if it make sense then reply. Boss una shida ya akili.
Hii takataka yako imedharaulika hapa,nishukuru mimi ndio nimejazia jazia comment hapa kidogo.
 
Hii takataka yako imedharaulika hapa,nishukuru mimi ndio nimejazia jazia comment hapa kidogo.
Who told you to comment? 😁😁

By the way sihitaji comments coz hazioniongezei chochote nyie mlio hapa kutafuta umaarufu ndio mnateseka.
 
AI ni majini modified to work in real world as Technology
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…