tuungane na chaputa kwa usalama wa afyaaa
Kila mtu ashinde mechi zake,namla kwa condom kwanza kama mara nne kisha nampa na tarehe ya kupima tena twende hospital kbsa ndio tutajua kipi bora kati ya nyuki na upupu.Habarini wadau,
swala la kupima limekuwa swala gumu sana mana vijana wanauza
mechi,au kuteleza sana pasipo sababu za msingi pia kujisahau
sasa ukiambiwa upime na majibu mpewe kwa pamoja vipi wadau
wa kimasihara na wanunua dada poa na wale wa massage wakushusha mlima
vipi mnasalimika
au tuungane na chaputa kwa usalama wa afyaaa