Je, Urafiki wake na Samatta ndio unambeba Thomas Ulimwengu?

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Huyu jamaa ni overrated. Binafsi sijawahi kumuelewa Thomas Ulimwengu na aina yake ya uchezaji. Miaka nenda rudi, Ulimwengu ana uhakika wa kuitwa na kucheza timu ya Taifa ya Tanzania.

Je ni kipi haswa kinambeba Ulimwengu timu ya Taifa? Je urafiki wake wa karibu na Nahodha Mbwana Samatta ndio kinachombeba kuendelea kuwepo Taifa Stars?
 
Hajuagi mpira uyo
 
timu alizocheza thomas ulimwengu huwezi kusajiliwa kama hujui mpira..

thomas toka utotoni hajawai cheza ligi za viporo mechi 10...

na hajawai lipwa mishahara mbuzi... hiyo tu inamaanisha mpira anaujua..

pale taifa starz nzima.. aliemzidi thomas ulimwengu CV ni mbwana samatta tu.. kama kuna mwingine mtaje? weka na facts ya cv yake
 
Lukaku kacheza Chelsea, Man Utd je anajua mpira?
 
Lukaku kacheza Chelsea, Man Utd je anajua mpira?
Duuu wabongo shikamoo kwahyo unataka kumfananisha na Boko au Makambo?

kati ya Ulimwengu au Kichuya n nan anaweza akabato na Coulbaly kwa physical?

Ukimtoa Samata ni mchezaji gani mwingine ameweza kucheza soka la kulipwa zaidi ya Ulimwengu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…