Digging deeper
JF-Expert Member
- Jul 15, 2020
- 787
- 512
Habari wana jf je wewe mdau mwezangu ushawai kuwa kiongozi katika mazingira fulani iwe shuleni ,kazini au sehemu yoyote tupe experience yako,binafsi katika elimu ya sekondari nilikuwa kiongozi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ongera sana mkuu je changamoto gani ulizipata kama kiongoziKiongozi kwenye diaspora
duu mkuu upo serious😂😂😂😂😂😂😂ukukamatwa kwelinili kuwa kiongozi pale mtaani kwenye kundi la kununua mali za wizi
mkuu uongozi ni karma au kipaji ko inawezekana wewe sio kipaji chako kuongoza watu kunaitaji skills kama una uwezi kuongozaUongozi aisee siupendi
Huwa sipendi majukumu ya watu wengine nisimamie mimi
Napenda kufanya mambo yangu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
😂😂😂😂😂😂😂ndio washikaji wanakutenga ko sometimes inabidi uwe fair tuUzoefu kawaida tu nimenufaika kdg
Changamoto Ni skuli kuonekana una kiherehere yaani snitch
duu mkuu upo serious[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ukukamatwa kweli
sawa mkuu vip tabia yako umeacha😁😁😁😁😁😁vituo vyote nimepita mpaka jela !.
we uliza vituo vinavyo fanana nitakueleza labda kiwe kipya dsm
mkuu shida ya wanawake wanajirahisha sana wanapenda slope😁😁😁😁Kuna Office naiongoza wafanyakazi wengi ni wanawake aisee kuna changamoto sana.
kuwaongoza wanawake nikazi sana bora wanaume.
Yaani kweli kabisa na ukiwatafuna tu basi ushawapa unafuumkuu shida ya wanawake wanajirahisha sana wanapenda slope[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
ndio hapo hapo ndo wanakuwa wamekushinda😂😂😂 kuwatala inakuwa ngumuYaani kweli kabisa na ukiwatafuna tu basi ushawapa unafuu
Mimi ni kiongozi huru wa TLP ndani ya CCMHabari wana jf je wewe mdau mwezangu ushawai kuwa kiongozi katika mazingira fulani iwe shuleni ,kazini au sehemu yoyote tupe experience yako,binafsi katika elimu ya sekondari nilikuwa kiongozi.
hahahahahah sawa ongera sanaMimi ni kiongozi huru wa TLP ndani ya CCM
Hongerahahahahahah sawa ongera sana
😂😂😂😂😂😂🤝Hongera