Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilikuwa kali sanaSupebowl halftime show of all time kwangu ni ile ya mwaka ya mwaka jana ya Dr. Dre, Snoopdog,Kendrick Lamar, 50 cent, Eminem et al
Usher anaimba RnB au POP?wewe.....
Humjui usher raymond. Nadhan wewe ni kizazi kipya.Huyu jamaa alikua anaimba RnB kipindi wasanii wengi wa RnB ni madem lkn alikua anawaafunika, angalia shows zake za 2005 kurudi nyuma ndo utajua unaongelea mtu gani.
Hawa ni veterans wa game la RnB.
Anyway ni kati ya wasanii wachache nnaotamani kuwaona wanaperform halftime show
Zote, ongeza soul na dance. Yule mwamba liamua tu kupoa, ila ni very talented, wasanii wachache wana hio talent wengine nyota tu. Wanaoelewa mziki wataelewaUsher anaimba RnB au POP?
Nishasema hapa, ngoja hio show ifikie, mimi na-bookmark huu uziSasa Usher si ndio wenye muziki wao hao! Huyo kila msanii mkubwa duniani hadi wale wavunja magitaa watatulia waangalie shoo.
To be specific ni 121.017, lakini hapo kuna watoto, maniacs etc..... ndo maana mwanzo nilkupa mfano wa show ya Dr Dre walivyojazana figures na icons wengi wanaoelewa mziki wa live ni nini.Pole kwa upwiru pambana nao tu,
Tunabet hapa hiyo 100k.....
"Ikumbukwe kuwa onesho la Rihanna la Half Time Show la Februari 12, 2023 liliweka rekodi kwa kutazamwa na watu Milioni 121 likivunja rekodi ya onesho la Katy Perry la mwaka 2015
Vipi Mdau, unadhani Usher anaweza kuvunja rekodi ya Riri?"
Ngoja tuone Old School wako akivunja hiyo rekodi.
Humjui Usher wewePole kwa upwiru pambana nao tu,
Tunabet hapa hiyo 100k.....
"Ikumbukwe kuwa onesho la Rihanna la Half Time Show la Februari 12, 2023 liliweka rekodi kwa kutazamwa na watu Milioni 121 likivunja rekodi ya onesho la Katy Perry la mwaka 2015
Vipi Mdau, unadhani Usher anaweza kuvunja rekodi ya Riri?"
Ngoja tuone Old School wako akivunja hiyo rekodi.
Tatizo gaga drama zilifunika kipaji chake ila kwenye performance yupo vizuri.Hao wote kiboko yao ni lady gaga
Hamna kaka paka leo mbona yuko wamoto sana yule mtotoTatizo gaga drama zilifunika kipaji chake ila kwenye performance yupo vizuri.
Ile ya Dr. Dre pia ni hatari 🔥🔥🔥🔥
NAKAZIA 📌🔨Supebowl halftime show of all time kwangu ni ile ya mwaka ya mwaka jana ya Dr. Dre, Snoopdog,Kendrick Lamar, 50 cent, Eminem et al
Nilichomaanisha mkuu, unajua gaga alijengwa na controversies,mfano atembee uchi au aingie kwenye awards kwenye yai au avae nguo za nyama na chochote kinachoashiria illuminat. Kwa hiyo watu wakaondoa focus sana kwenye kipaji chake haswa kama singerHamna kaka paka leo mbona yuko wamoto sana yule mtoto
Sema bado anafanya poa sana skuiz anauza lipstick na hata kwenye mziki yupo poa tu na usishau anaigiza pia alivyoanza kuigiza akawa atoi ngomaNilichomaanisha mkuu, unajua gaga alijengwa na controversies,mfano atembee uchi au aingie kwenye awards kwenye yai au avae nguo za nyama na chochote kinachoashiria illuminat. Kwa hiyo watu wakaondoa focus sana kwenye kipaji chake haswa kama singer
Ni good actress pia maana ashapata awards. Kiufupi lady gaga ni underrated sanaSema bado anafanya poa sana skuiz anauza lipstick na hata kwenye mziki yupo poa tu na usishau anaigiza pia alivyoanza kuigiza akawa atoi ngoma
Kama ningekuwa star marekani mwanamke wa kwanza kumla tunda ningeanza na lady gaga ananivutia sana yule mtotoNi good actress pia maana ashapata awards. Kiufupi lady gaga ni underrated sana
Fantasies hizo bro 😁😁😁😁😁Kama ningekuwa star marekani mwanamke wa kwanza kumla tunda ningeanza na lady gaga ananivutia sana yule mtoto
Ningemlamba sana yule mtoto mtamu mno sema pesa tuFantasies hizo bro 😁😁😁😁😁
Mimi huyo Rihanna wenu sijawahi kumuelewa. Ninachokumbuka kuhusu Rihana ni kwamba aliwahi kuwa mahusiano na Chriss Brown na akapigwa na ninachokumbuka kuhusu Criss Brown ni kwamba aliwahi kuwa kwenye mahusiano na Rihana halafu akampiga...ni hayoRiri ni overrated nilishasema humu. Na Usher washabiki wake sio genZ, utaona mastaa watakaokuwemo humu. Unakumbuka halftime show ya Dr Dre mastaa na honorables walivyojazana? Sasa subiri mwanafunzi wa MJ aende pale mimi nitakuwa nakuhesabia tu mastaa. Ukitaka kubet tubet unakaribish, mwakani ni kesho tu, ukishinda nakupa 100k, nikishinda unanipa tunda