Zimebaki siku tano ubishe umalizwe......hata aipovunja rekodi Ila Ila show atakayoifanya dunia itatikisika haswa kwA lile goma la nice and slowRiri ni overrated nilishasema humu. Na Usher washabiki wake sio genZ, utaona mastaa watakaokuwemo humu. Unakumbuka halftime show ya Dr Dre mastaa na honorables walivyojazana? Sasa subiri mwanafunzi wa MJ aende pale mimi nitakuwa nakuhesabia tu mastaa. Ukitaka kubet tubet unakaribish, mwakani ni kesho tu, ukishinda nakupa 100k, nikishinda unanipa tunda
Mbali na ukweli kwamba Usher yupo mbele ya Rihanna mara zisizopungua 7 kiushawishi, ila kabla ya ku bet unapaswa kuzingatia kwamba, tangu hiyo 2015 hadi sasa, digital viewers wameongezeka sana na hivyo huenda hiyo 121 ya Rihanna ikaachawa mbali na Usher, usije ukashangaa watazamaji wakafikia milioni 250 hadi 310. Omgezeko la world population na viewers tu vinamuacha Rihanna. So viewers isitumike kama kigezo cha ubora au ushawishi.Hana huo ushawishi
Kuna vitu vingine wala siyo sifa bali hushusha heshima..Asha gani tena wakuu?
Mimi namjua Asha mkojomrefu wa tandika
Unasikitishwa na tetesi, too weak!Tetesi nilizozisikia kwamba Diddy alikuwa anamuharibu Usher kipindi bado yuko teenager zimenisikitisha sana
Unasikitishwa na tetesi, too weak!