Hali ingekuwa kama sasa hivi. Sababu, mambo ya ngono yamekuwa kwa kasi sana mara baada ya ukimwi kugundulika.wa ndugu je kama usingekuwa ugonjwa wa ukimwi je maisha ya kijamii(kindoa, mahusiano ya jiko kubwa na ndogo, mahusiano ya boyfriend na girlfriend nk yangekuaje? Soko la akina dada poa, je akina "ant"
au kama sasa hivi dawe ikapatikana na wagonjwa wa ukimwi wakatibika ingekuaje.
watanzania sasa tungekuwa tunakaribia millioni 80wa ndugu je kama usingekuwa ugonjwa wa ukimwi je maisha ya kijamii(kindoa, mahusiano ya jiko kubwa na ndogo, mahusiano ya boyfriend na girlfriend nk yangekuaje? Soko la akina dada poa, je akina "ant"
au kama sasa hivi dawe ikapatikana na wagonjwa wa ukimwi wakatibika ingekuaje.