lidoda
JF-Expert Member
- Apr 27, 2008
- 641
- 574
wa ndugu je kama usingekuwa ugonjwa wa ukimwi je maisha ya kijamii(kindoa, mahusiano ya jiko kubwa na ndogo, mahusiano ya boyfriend na girlfriend nk yangekuaje? Soko la akina dada poa, je akina "ant"
au kama sasa hivi dawe ikapatikana na wagonjwa wa ukimwi wakatibika ingekuaje.
au kama sasa hivi dawe ikapatikana na wagonjwa wa ukimwi wakatibika ingekuaje.