Je, utabiri wa Pep Guadiola kuhusu mshindi wa Kombe la Dunia utaenda kutimia hapo Jumapili?

Je, utabiri wa Pep Guadiola kuhusu mshindi wa Kombe la Dunia utaenda kutimia hapo Jumapili?

Dong Jin

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2018
Posts
968
Reaction score
2,034
Mnamo Oktoba Julian Alvarez alipohojiwa na waandishi wa habari, alisema:

"Wachezaji wa Ureno na Rodri walikuwa wakizungumza kuhusu nani angeweza kushinda Kombe la Dunia. Walikuwa wakisema Ureno, Ufaransa, na mataifa mengine ya Ulaya. Kisha Pep [Guardiola] akasema, 'unajua nani ana nafasi nzuri zaidi?'. Hakusema chochote [ila] akaninyooshea kidole."

Argentina sasa wamebakiza mechi moja kushinda WC.

💪💪💪💪💪💪💪💪
 
Back
Top Bottom