Je, utafanyaje kama umemtongoza mke wa rafiki Yako na amekukataa?

Je, utafanyaje kama umemtongoza mke wa rafiki Yako na amekukataa?

kalikoroga ushauri hupo ila acha akutanishwe na mafuta ya mgando mbuzi huyo.
mizigo imejaa kibao inazura barabarani mpaka kumtongoza mke wa mtu tena rafiki yake,hajielewi.
 
Wakulungwa..... habari Gani

Huku kimeumana Kuna jamaa yangu ameyatimba Baada ya kumtongoza shemeji ake ( mke wa rafiki yake) na huyo mke wa rafiki yake ametolea uvivu Kwa kumtukana

Jamaa angu amechanganyikiwa hajui la kufanya kama habari zitafika Kwa mwenye Mali ..

Je mshkaji atumie njia Gani ku escape hili Soo..... only legend have to answer this.....
Najua vijana wa hovyo mtasema ni Mimi???

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Aanze kutembea na Vaseline sababu jamaa kisha kodi kikosi kazi kurudisha heshima

Sent from my BLA-L29 using JamiiForums mobile app
 
Wakulungwa..... habari Gani

Huku kimeumana Kuna jamaa yangu ameyatimba Baada ya kumtongoza shemeji ake ( mke wa rafiki yake) na huyo mke wa rafiki yake ametolea uvivu Kwa kumtukana

Jamaa angu amechanganyikiwa hajui la kufanya kama habari zitafika Kwa mwenye Mali ..

Je mshkaji atumie njia Gani ku escape hili Soo..... only legend have to answer this.....
Najua vijana wa hovyo mtasema ni Mimi???

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Akili hana
 
Back
Top Bottom