Passion of learning tumeumbiwa wanadamu wote so hata kama ni mkubwa mtu anaweza kurudi shuleni kusoma.
Labda hakuwa na uwezo au msukumo. Lakini kwa sababu anataka kuoa lazima kauwezo nako kako juu, kama ni msukumo mkewe mtarajiwa ni msomi atampa hiyo inspiration-kwa hiyo arudi shule....Wakioana wakiwa na difference kubwa kielimu basi hata intermarriage communication itakuwa na challenge nyingi which is bad for the health of the marriage...
Ndio maana wenye busara wanasuggest the easy way ni kutooana lakini kama wanapendana enough huyo mmoja anaweza kwenda kujiupdate kielimu...
kwa kweli ukichunguza kwa makini utaona hana sababu ya kuremain illeterate wakati yuko na msomi anayeweza kumuambukiza(reignite) the passion for learning which burns deep in us