ntungiyehe
New Member
- Sep 16, 2011
- 4
- 0
yapkkkkkkkkkk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
elimu yako kutwa unalalamika na ccm elimu nini bwana watu wana pesa nakutajia matajili darasa la tatu.. nenda sinza au kkoo mbeya njombe songea ukikuta hotel zote za kisasa zimeandikwa wanyama hotel mwenyewe std 3 rombo grean view darasa la pili engeen mbezi beach za seif mwalabu kasoma chuo tu madrasa hela ndio mpango nyie niaje[/QUOTE
MZEE HEBU RUDIA KUWAPASHA TENA. SIYO HAO TU MATAJIRI WAKUBWA/WALIOFANIKIWA DUNIANI ELIMU YAO YA KAWAIDA SANA. WENGINE HATA HIYO SIJUI BACHELOR DEGREE YENYEWE HAWANA. WENGINE WALIFUKUZWA SHULE KWA UKILAZA LAKINI NDIYO HAO WALIOFANIKIWA KWA SANA.
hongera mzee, uko juu kielimu.swali gumu. Kwangu itategemea;
form4 or less - no. I may date the person but not marry...
Form6 - not sure
bachelor/masters - ideal
phd - lol, how many are even there?
I prefer small gaps between couple attributes and i wouldn't feel comfortable having such large gaps with my lover. Some discussions zinakuwa ngumu kidogo because of the gap.
I guess it's my background and environment inanifanya niseme hivi. Most of my friends frequently challenge me intellectually and that's something i'd want in a future partner.
for the record, i'm not a chick but i would do this if faced with a such a situation
Mkuu the color of fonts you are using its hard to see (please be considerate) unless you want to read what you write yourself.Most of my friends frequently challenge me intellectually and that's something i'd want in a future partner.
for the record, i'm not a chick but I would do this if faced with a such a situation
Ujinga unapishana ujuwe, kuna catogories nyingi tu....Hio ya kuto kusoma imepitiliza, yani kama hana elimu siwezi kumuozesha hata siku moja binti yangu.fazaa kwani mtu kutokwenda shule ni mjinga?...wajinga kibao tunao maofisini...
A wonderful point of view, ubarikiwe sana 😛oajAMANI NINYI ACHENI: Kuna mfano mmoja halisi wa dada ambaye alikuwa na elimu ya kidato cha sita na akaolewa na kaka mwendesha pikipiki ambaye alikuwa hana shule na hajaelimika kwa lolote. ye kwake alijua kusoma tu na kuandika tena kwa kubabaisha. Baada ya dada kuolewa kilichofuata ni kulea mtoto mmoja baada ya mwingine hadi ndoto zake za kuwa lawyer zikafutika. Pia huyu mwanaume illiterate huwa hana shukurani kwa namna yule dada anavyojitahidi kuhakikisha anaanya kila analoweza familia iwe na mkate wa kila siku na kusomesha watoto. lakini yule kaka akaona haifai akamwachisha kijikazi alichokuwa nacho et akae nyumbani..... Ndo n=maisha gani hayo et kisa pesa ipo... LAZIMA MTU AWE NA UPEO WA MAISHA WALAU KUSOMA KUNASAIDIA MTU KWUA NA EXPOSURE!!!!!! SHULE MUHIMU JAMANI
elimu yako kutwa
unalalamika na ccm elimu nini bwana watu wana pesa nakutajia matajili
darasa la tatu.. nenda sinza au kkoo mbeya njombe songea ukikuta hotel
zote za kisasa zimeandikwa wanyama hotel mwenyewe std 3 rombo grean view
darasa la pili engeen mbezi beach za seif mwalabu kasoma chuo tu
madrasa hela ndio mpango nyie niaje
CharminggirljAMANI NINYI ACHENI: Kuna mfano mmoja halisi wa dada ambaye alikuwa na elimu ya kidato cha sita na akaolewa na kaka mwendesha pikipiki ambaye alikuwa hana shule na hajaelimika kwa lolote. ye kwake alijua kusoma tu na kuandika tena kwa kubabaisha.
Uzazi wa mpango sidhani kama unafundishwa shule.., hii ni tabia ya mtu.., Kuja jamaa yangu Proffessor mmoja anawatoto kumi kwa mama mmoja na wengine kama 8 kwa kina mama tofauti, yeye ni toka nitoke yaani mimba baada ya mimba nadhani mke wake angekuwa na uwezo wa kuzaa watoto kila baada ya miezi mitatu jamaa angefanya hivyo.., na controlling ni tabia ya mtu na haifundishwi shuleBaada ya dada kuolewa kilichofuata ni kulea mtoto mmoja baada ya mwingine hadi ndoto zake za kuwa lawyer zikafutika.
Again hii ni tabia ya mtu, na upeo mfupi wa mtu, Babu yangu hakusoma wala alikuwa hajui kuandika ila alihakikisha watoto wake wote wanakwenda shule (yupo radhi kuuza shamba) na alimwandikisha mke wake kisomo cha watu wazima ili waweze kusoma barua za wajukuu (hivyo hii ni tabia ya mtu na has nothing to do na kwenda shule)Pia huyu mwanaume illiterate huwa hana shukurani kwa namna yule dada anavyojitahidi kuhakikisha anaanya kila analoweza familia iwe na mkate wa kila siku na kusomesha watoto. lakini yule kaka akaona haifai akamwachisha kijikazi alichokuwa nacho et akae nyumbani.....
No Doubt kusoma ni muhimu sana tena sana, exposure even more.., lakini lack of kusoma na exposure does not mean kwamba mtu atafanya hayo uliyosema, vile vile unaweza ukasoma lakini ukawa na tabia za kizamani (huenda hataki mke wake afanye kazi sababu ya wivu, sasa niambie shule gani inatibu wivu)Ndo n=maisha gani hayo et kisa pesa ipo... LAZIMA MTU AWE NA UPEO WA MAISHA WALAU KUSOMA KUNASAIDIA MTU KWUA NA EXPOSURE!!!!!! SHULE MUHIMU JAMANI
Kuna mifano kama thelasini halisi (ya watu ambao hawakusoma) ila wana busara (Henry Ford.., Richard Bransom, Mzee Faraja.., Baba Athumani n.k n.k n.k.) wameoa na wamezaa na wanajukuu na maisha yao yanakwenda bila tabu yoyote
Uzazi wa mpango sidhani kama unafundishwa shule.., hii ni tabia ya mtu.., Kuja jamaa yangu Proffessor mmoja anawatoto kumi kwa mama mmoja na wengine kama 8 kwa kina mama tofauti, yeye ni toka nitoke yaani mimba baada ya mimba nadhani mke wake angekuwa na uwezo wa kuzaa watoto kila baada ya miezi mitatu jamaa angefanya hivyo.., na controlling ni tabia ya mtu na haifundishwi shule
Again hii ni tabia ya mtu, na upeo mfupi wa mtu, Babu yangu hakusoma wala alikuwa hajui kuandika ila alihakikisha watoto wake wote wanakwenda shule (yupo radhi kuuza shamba) na alimwandikisha mke wake kisomo cha watu wazima ili waweze kusoma barua za wajukuu (hivyo hii ni tabia ya mtu na has nothing to do na kwenda shule)
No Doubt kusoma ni muhimu sana tena sana, exposure even more.., lakini lack of kusoma na exposure does not mean kwamba mtu atafanya hayo uliyosema, vile vile unaweza ukasoma lakini ukawa na tabia za kizamani (huenda hataki mke wake afanye kazi sababu ya wivu, sasa niambie shule gani inatibu wivu])
Mkuu yaani umeongea mengi..., ila sijui unataka kusema nini (ebu nionyeshe ni wapi nimesema kusoma sio muhimu)Wewe kama unaona kusoma sio muhimu ni wewe tu sio sisi....Tabia na elimu ni vitu tofouti kabisa, ni sawa sawa na maisha na elimu ni vitu tofouti kabisa, elimu mana yake kuondoa ujinga :A S shade:
- The condition of being unable to read and write.
- An error, as in writing or speech, made by or thought to be characteristic of one who is illiterate. See Usage Note at literate.
- The condition or quality of being ignorant or unknowledgeable in a particular subject or field: cultural illiteracy; scientific illiteracy.
Kutokana na mazungumzo yako...Sijasema umesema kuna sehemu umeandika, nilipo highlighted kule ulikuwa umesema elimu ni mhumu sana, afu pale pale maneno yako yanasema vingine....Sa kama elimu ni muhimu kama unavyo sema, yanini tunabishana hapa...Au unataka tujaze maneno mengi tu :A S shade:Mkuu yaani umeongea mengi..., ila sijui unataka kusema nini (ebu nionyeshe ni wapi nimesema kusoma sio muhimu)