We miss him.Pamoja na ukatili wake kukosa ubinadamu na upendo kwa wengine still maono yake hayatafutika.
Najua walio Wengi we Miss this dude
View attachment 1871254
GONGA Like za kutosha kama wewe ni moja wapo uliyechukizwa na ubabe wake but still you miss this DUDE
Tupia picha yoyote kwa ukumbusho wake.
Bado anaupiga mwingi hapa tumepigwa😪😪
mbona hata huyu hajapandisha mishahara kama kweli anawapenda watz.Kuwaweka wafanyakazi wa Uma miaka 7 bila nyongeza ya mshahara wala kupanda daraja. Hili haliwezi kusahaulika.
Yeye ndio rais, unadhani kero kama hizi tumpelekee nani?Yaan umeona ,kilio umpelekee Mama??
Hamna kitu humo !!! Tumepigwa, na Katiba ya Jamhuri ndio imetupiga.
Biashara ngapi zinazotegemea umeme zinashindwa kufanya kazi? Kodi kiasi gani inapotea kwa kukosekana umeme. Mama inabidi abadirike, watu wanamhujumu kwa maksudi.Labda km unazungumzia Rais wa maneno maneno matamu yakusikiliza.
Macho malegevu.
2025 hawamleti .Biashara ngapi zinazotegemea umeme zinashindwa kufanya kazi? Kodi kiasi gani inapotea kwa kukosekana umeme. Mama inabidi abadirike, watu wanamhujumu kwa maksudi.
Usicheke mkuu. Mambo kama yanasimama ujue. Haiwezekani kipindi jamaa yupo hai hawa TANESCO walikuwa hawafanyi huu uhuni. Nini kimebadirika? Biashara kibao zinakosa mapato kwa sababu ya huu uhuni. Kodi kibao inapotea kwa ajili ya huu uhuni. Mama anatakiwa adeal na hawa TANESCO.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nakumbuka mkuu. Ila hapa tunaongelea kero ya umeme.Konda msafi vipi haumkumbuki kumbu???
Kwa maana hiyo ni maksudi kabisa.Mataa ya Africana yalikaa wiki nzima yamezima wiki chache tu baada ya mkulu kwenda zake.
[emoji847]