Kabisa, haya ni maksudi. Mbona kipindi jamaa yupo hai walikuwa hawakati kama hivi? Kipi kimebadirika? Toka asubuhi mpaka sasa hivi umeme haujarudi. Biashara ngapi zinazotegemea umeme hazijafanya kazi?Pengo ni kubwa HakyaMungu
Na tuliyajua haya,Binadamu ni kama nyani ukicheka nae utavuna mabua hasa binadamu mweusi. Yule baba ndio maana alitanguliza ukali mbele, watu wasipokuogopa sauti yako wanakupanda popote na hamna kitu utafanya.
Makusudi tu..Maana kabla ya mkulu kufariki walikuwa wanatimiza wajibu wao barabara!Kwa maana hiyo ni maksudi kabisa.
Bora kukaa gizani kuliko mateso ya kutawaliwa kidikteta na mtawala muovu anayeteua viongozi wa kumsaidia wahalifu kama Sabaya.Tanzania ilipoteza Raisi wake Tarehe 17 March 2021.
Si walikua wanamuogopa, wanajua kila siku anaongea na wananchi sasa itokee mwananchi karopoka sikuhio hio TANESCO nzima inafanyiwa mabadiliko[emoji2][emoji2]Kabisa, haya ni maksudi. Mbona kipindi jamaa yupo hai walikuwa hawakati kama hivi? Kipi kimebadirika? Toka asubuhi mpaka sasa hivi umeme haujarudi. Biashara ngapi zinazotegemea umeme hazijafanya kazi?
Wafanyakazi wa ndani mna shida sana...unajua gharama za kuendesha jenereta?au ndo mpo bze mnasubiri boss aondoke muwashe TvBora kukaa gizani kuliko mateso ya kutawaliwa kidikteta na mtawala muovu anayeteua viongozi wa kumsaidia wahalifu kama Sabaya.
Big no kwa utawala wa aina ya mwendazake hata kama kila mtu atalazimika kununua jenereta lake....sawa tu!
[emoji106][emoji106]Umeandika upuuzi na riwaya ya kufikirika.
Eti 90% ya watanzania, ni lini ulifanya utafiti huo. Magufuli alikuwa kiongozi dikteta ambaye aliitawala nchi kwa siasa za hila na uwongo. Wapo wajinga waliohadaika na hila zake lakini kila mwenye akiki alijua kuwa tuna kiongozi wa ajabu
Siyo tu kujua gharama za jenereta. Nazimiliki.Wafanyakazi wa ndani mna shida sana...unajua gharama za kuendesha jenereta?au ndo mpo bze mnasubiri boss aondoke muwashe Tv
Na kuua, kubaka demokrasia, kubambikia watu kesi ilikuwa ni mikakati ya kuepuka kuvuna mabua?Pengo ni kubwa HakyaMungu
Na tuliyajua haya,Binadamu ni kama nyani ukicheka nae utavuna mabua hasa binadamu mweusi. Yule baba ndio maana alitanguliza ukali mbele, watu wasipokuogopa sauti yako wanakupanda popote na hamna kitu utafanya.
Nakukumbusha tu kuwa hata uwe mwema sana kuliko huyo unaemtukana kwenye hii comment yako,ardhini utaingizwa tu maana huko hapachagui, kwahiyo me sioni kama kifo kinaweza kutumika kama sababu ya wewe kujifariji.Na kuua, kubaka demokrasia, kubambikia watu kesi ilikuwa ni mikakati ya kuepuka kuvuna mabua?
Attempted assassination ya Tundu Lissu ilikuwa ni kwa ajili ya kuepuka kuvuna mabua?
Aendelee kuoza na if possible afe tena huko huko aliko, unyama wake uli overshadow mengine yote.
nipe uthibitisho wa haya uzungumzayo?Na kuua, kubaka demokrasia, kubambikia watu kesi ilikuwa ni mikakati ya kuepuka kuvuna mabua?
Attempted assassination ya Tundu Lissu ilikuwa ni kwa ajili ya kuepuka kuvuna mabua?
Aendelee kuoza na if possible afe tena huko huko aliko, unyama wake uli overshadow mengine yote.
Ujinga mtupuNa kuua, kubaka demokrasia, kubambikia watu kesi ilikuwa ni mikakati ya kuepuka kuvuna mabua?
Attempted assassination ya Tundu Lissu ilikuwa ni kwa ajili ya kuepuka kuvuna mabua?
Aendelee kuoza na if possible afe tena huko huko aliko, unyama wake uli overshadow mengine yote.
ENDELEA KUUFUKUZA UPEPONdio maana wenye akili wanadai katiba mpya.
Watu wanalipana perdiem kufanyia vikao Dar ili hali walipaswa kufanyia vikao hivyo Dodoma.
Mama ni mzigo kwa hii nchi na watu wake.
Hata huyo Mwendazake nae ni wale wale tu alikuwa anaishi kijijini kwake wakati katumia mabilioni kujenga Ikulu Dodoma.
CCM must go.
Sio mzigo ni janga sawa na corona, corona inaua watu, maza anapukutisha tozo zetuNdio maana wenye akili wanadai katiba mpya.
Watu wanalipana perdiem kufanyia vikao Dar ili hali walipaswa kufanyia vikao hivyo Dodoma.
Mama ni mzigo kwa hii nchi na watu wake.
Hata huyo Mwendazake nae ni wale wale tu alikuwa anaishi kijijini kwake wakati katumia mabilioni kujenga Ikulu Dodoma.
CCM must go.
Sasa uchaguzi serikali za mitaa 2019 alifuta wa nini??haji kutokea rais mwehu kama yule dunianiUjinga mtupu