Na walikwapua 1.5trillion usisahau
Ukifuatilia utagundua kuwa ni mfumo WALIOFANYA uhalifu ule baada ya kujua hujuma waliyomfanyia na wakawa na uhakika kuwa havhomoki na Afya imeshaanza kuzorota.

Lakini JPM katika uhai wake na afya yake jamani tumtendee na kusemea Kwa haki yule mtu hakuwahi kupenda dhulma na rushwa na kuiba Mali za umma.

Yule mtu alikua na madhaifu yake kwenye kusimamia Demokrasia hasa baada ya kuona wapinzani walikua wanatumiwa na matajiri kutaka kumhujumu Kwa kutishia maandamano na kukwamisha jitihada zake.

Aliamini Upinzani wa aina ya Dr. Slaa wa kukataa Ufisadi muda wote .
Lakini kwamba JPM angeweza kuruhusu trail. 1.5 zikafichwa nje ya nchi ,hapana tusijenge Taifa la watu wanaoamini katika Rushwa. Ni lazima tukubali kuwa palitokea Rais asiyependa Rushwa na ufisadi. Rais aliyewachukia wezi na wanaotumia vibaya Mali za umma.

Hata Nyerere walimsingizia kuwa alichukua pesa akaanzisha Kiwanda Cha Tata kule India . Wakidai Hata Neno tata Lina asili ya kule Musoma. Ulikua ni uongo wa kitaalam . Cleopa Msuya wakasema yeye alianzisha Kiwanda Cha Toyota DCM kule India. Yote walikua wanamvunja nguvu na kudhoofisha kundi Fulani ili wananchi waamini katika utawala dhaifu unaojifanya kula na kupuliza.

Kuna mwanasiasa yeye alijipambanua kuwa angepata uraisi basi angekua ni kazi na Bata.
 
Kama ufisadi ulifanyika chini yake na yeye hakukemea hizo tabia chafu basi tutamuita fisadi pia.

Unyama wa kina Sabaya alikiri kuwa alikuwa anayafanya yote kwa kutumwa na mteule wake.

Wewe hapo unaanzaje kumtetea huyo mtu?
 
Kama ufisadi ulifanyika chini yake na yeye hakukemea hizo tabia chafu basi tutamuita fisadi pia.

Unyama wa kina Sabaya alikiri kuwa alikuwa anayafanya yote kwa kutumwa na mteule wake.

Wewe hapo unaanzaje kumtetea huyo mtu?
Usihangaike na zombie, mpe brains tu

Sent from my TECNO KG7h using JamiiForums mobile app
 
Ujinga mzigo, sema sikulaumu maana ndo umri wako ulivyo, akina Sylvester Rwegasira unawajua? akina Amina Chifupa unawajua? akina Deo Filikunjombe unawajua? niendelee nisiendelee? Saa8 ndo kitu gani kwa hao?
Basi hata tuwe na ukumbi wa Azory? Kwani kuna ubaya mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…