Katika kusoma kwangu huko Namtumbo hadi form two, neno legacy maana yake nilielewa kuwa ni kitu cha utofauti ambacho mtu kakifanya na huwenda hakikuwah kufanywa na mtu aidha kwa ngazi ya familia au kitaifa. Sasa hii legacy na Jiwe ni ipi na hapo ndo naombwa kuongezewa hii maana ya legacy tuki mreflect jiwe
 
He is My sons's legacy

Amenisaidia Mambo mengi.

JPM kafanya mengi makubwa kuliko Rais yeyote aliwewahi pita nakosa la kuandika kabisa vidole vinatetemeka, Nimelia Mimi leo

Naogopa nchi yetu inarudi shimoni

MUNGU TUANGALIE TENA WAJA WAKO
Ameninyima increment ambayo ni haki yangu kisheria kwa miaka mitano yote akiwa madarakani. Ingekuwa nchi nyingine ungeweza kuipeleka serikali mahakamani kwa kukiuka mkataba!!!
 
Mtizamo wako unaona hivyo hata mimi kwa mtizamo wangu,ndani ya hiko chama chenu ,ukabila umedominate.Udikteta !!!!huyo mwenyekiti baada ya kupewa kiti na baba mkwe wake,tokea nikiwa O-level yeye nafasi zake za uongozi ni zile mbili za juu chama ni mali.

Kwangu hiko chama ni chama kilichokosa msimamo sababu ya [emoji116][emoji116][emoji116]

Wote ni waganga njaa waliokosa msimamo na kusimamia kauli zao walizo zitoa kwa vinywa vyao na ndio maana tokea 2015 nimeacha kuwafuatilia.Siku hizi hata siwa amini kwani leo hii Magu anagehamia chama chao ,wangempa nafasi ya juu kama Lowasa chama kimejaa uwongo uwongo,hakina msimamo kwa kile wanachokiamini.

So kwangu mimi Magu ni bora baada ya Nyerere,kwani mchapakazi,ana msimamo na mfuatiliaji tokea akiwa waziri mpaka rais na amevionyesha kwa vitendo na mimi nimeona.
 
Kuna watu huwa wanalazimisha legacy za watu walio kufa wakati hata hao waliokufa hawajui maana ya LEGACY !!!!! Kwa sasa walazimisha legacy wamejaa bungeni
 
kama legacy ya jiwe huioni si unakauka tu!!

kwani umepitwa na mangapi??
 
Mradi huu ulianza mwaka 2016, utagharimu bil 60 za kitanzania. Ni mmoja ya miradi itayosaidia watu kuondokana na tatizo la makazi.

Vipi waliokuwa wakazi Magomeni kota kabla ya huu mradi watasahau?

Leo waziri Mkuu alitembelea kukagua huu mradi.

 
Afadhali umesema your hero, for me mwamba alikuwa rais wa ovyo zaidi kuwahi kutokea dunian.
Aliyejenga hizo nyumba ni Raisi wa hovyo? Basi wewe utakua Brain zero au Brain less.
Nyumba nzuri namna hiyo useme hovyo?
 
Huko serikalini hakuna anayekumbukwa kwa ujenzi wa Miundombinu wala majengo make hayo huchakaa haraka!
Mifumo imara na falsafa zenye tija hudumu miaka nenda rudi! Bahati mbaya ushamba wa JPM haukumruhusu ajue hayo!
 
Tutamisi yale masuti yake makubwa na kula mahindi barabarani bila kumsahau kauli zake za kebehi, ubabe na majigambo. Labda kiingereza chake πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Alimwambia yule msimamizi wa soko kwamba kama soko hakina choo basi uee unakunya nyumbani kabisa πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ that creature was something else.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…