Je utanunua Mkoa gani iwapo Tanzania itauzwa kwa Mnada?

Je utanunua Mkoa gani iwapo Tanzania itauzwa kwa Mnada?

Nyumbi hii bombi hii!😁
Kule Kuna Uranium itakayo nifanya niunde vinu vya kurusha Maroketi Kwa wazalamo nikilipa kisasi Kwa ex wangu mwajuma ndala mbofu,😂
Kingine nitarudisha wangoni kwao Mpumalanga Kwa Zulu Natal wakawe vibarua kwenye mashamba ya zabibu Kwa kaburu!
Aaaaagh Watani zangu Wasukuma niliwasahau najua mmelowea hapo Ruvuma na mifugo yenu nawaapia nikishanunua huo mkoa nitawarudisha na Boeing 780 mpaka Chattle International airport pamoja na mifugo yenu
Sipendi ujinga Mimi alaaaaaaaa!
Shabhaaaaash!😁😂
Islamabad!
😁😁😅😅😂
 
Back
Top Bottom