Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 19,484
- 38,416
- Thread starter
- #21
Siyo ulime dhabibu uwaleweshe kina Chaliifrancisco maana kule chuga wanapenda sana gambeNitanunua dodoma kisha nitaufanya jangwa la Sahara, watu waje Kufanya utalii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo ulime dhabibu uwaleweshe kina Chaliifrancisco maana kule chuga wanapenda sana gambeNitanunua dodoma kisha nitaufanya jangwa la Sahara, watu waje Kufanya utalii
Ila Alshaba wa Mozambique watakuwa wanakuzingua sanaNyumbi hii bombi hii!😁
Kule Kuna Uranium itakayo nifanya niunde vinu vya kurusha Maroketi Kwa wazalamo nikilipa kisasi Kwa ex wangu mwajuma ndala mbofu,😂
Kingine nitarudisha wangoni kwao Mpumalanga Kwa Zulu Natal wakawe vibarua kwenye mashamba ya zabibu Kwa kaburu!
Aaaaagh Watani zangu Wasukuma niliwasahau najua mmelowea hapo Ruvuma na mifugo yenu nawaapia nikishanunua huo mkoa nitawarudisha na Boeing 780 mpaka Chattle International airport pamoja na mifugo yenu
Sipendi ujinga Mimi alaaaaaaaa!
Shabhaaaaash!😁😂
Islamabad!
😁😁😅😅😂
Watu wa Mpitimbi hatutakuelewa ooooh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nyumbi hii bombi hii![emoji16]
Kule Kuna Uranium itakayo nifanya niunde vinu vya kurusha Maroketi Kwa wazalamo nikilipa kisasi Kwa ex wangu mwajuma ndala mbofu,[emoji23]
Kingine nitarudisha wangoni kwao Mpumalanga Kwa Zulu Natal wakawe vibarua kwenye mashamba ya zabibu Kwa kaburu!
Aaaaagh Watani zangu Wasukuma niliwasahau najua mmelowea hapo Ruvuma na mifugo yenu nawaapia nikishanunua huo mkoa nitawarudisha na Boeing 780 mpaka Chattle International airport pamoja na mifugo yenu
Sipendi ujinga Mimi alaaaaaaaa!
Shabhaaaaash![emoji16][emoji23]
Islamabad!
[emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji23]
hahahah wasije Kodi Super Feo kuja kunipopoa mawe BureWatu wa Mpitimbi hatutakuelewa ooooh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tutaungana na watu wa peramiho na matimira tutakupopoa maganga wee had ujute. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hahahah wasije Kodi Super Feo kuja kunipopoa mawe Bure
[emoji16][emoji16][emoji16]
Hii nyongeza kwa atakayenunua mikoa mingiKuna mikoa unaweza usiuziwe, unapewa tu bure mfano Kigoma, Simiyu, Katavi, Lindi...
😂😂😂😂Tutaungana na watu wa peramiho na matimira tutakupopoa maganga wee had ujute. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ooooh wee haya, tena saiv tutatumia wakunyumba mwuyitu Tavavili, sio super feo huyo Mbena, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
daaaa mnachukua Tavavili kumsapoti wa kunyumba au sio umetisha ama kweli uzalendo huanzia ku nyumbi mweee!Ooooh wee haya, tena saiv tutatumia wakunyumba mwuyitu Tavavili, sio super feo huyo Mbena, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yeaaaaah charity begins at home. [emoji23][emoji23][emoji23]daaaa mnachukua Tavavili kumsapoti wa kunyumba au sio umetisha ama kweli uzalendo huanzia ku nyumbi mweee!
[emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23]