Je utanunua Mkoa gani iwapo Tanzania itauzwa kwa Mnada?

Ila Alshaba wa Mozambique watakuwa wanakuzingua sana
 
Watu wa Mpitimbi hatutakuelewa ooooh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ooooh wee haya, tena saiv tutatumia wakunyumba mwuyitu Tavavili, sio super feo huyo Mbena, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
daaaa mnachukua Tavavili kumsapoti wa kunyumba au sio umetisha ama kweli uzalendo huanzia ku nyumbi mweee!
πŸ˜‚πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜‚
 
daaaa mnachukua Tavavili kumsapoti wa kunyumba au sio umetisha ama kweli uzalendo huanzia ku nyumbi mweee!
[emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23]
Yeaaaaah charity begins at home. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aisee itakuwa bora maana Bukoba itagombaniwa sana huko ughaibuni..mtajuta wamatumbi!
#TheAfricanDubai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…