GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Katika ngazi za Familia nyingi za Kiswahili utakuta Mtoto mwenye Mafanikio ya Kipesa kuliko Wenzake hata kama ni wa mwisho Kuzaliwa ndiyo anasikilizwa na Wazazi hata kama wale Wasiokuwa na Pesa ni Werevu na Wamesoma kuliko Yeye.
Katika Kamati mbalimbali za Jumuiya za Makanisa ( hasa langu la Katoliki ) Viongozi Wakuu wa Kamati hizo ni Watu wenye Hadhi za Kiuweledi Maofisini Kwao ila wale wasiokuwa nacho na ni Wafanyakazi wa Kawaida tu huwa hawapewi au hata hawachaguliwi katika nafasi za Kinyadhifa.
Katika Kamati mbalimbali za Sherehe ( hasa Harusi ) wale Wajumbe wa Kamati hizo huwa ni Watu wenye Pesa au Umaarufu fulani pia ila wale wasiokuwa nacho ( akina GENTAMYCINE ) tutapangiwa tu Kunawisha Mikono Wageni, Kuzoa Makombo yao ya Chakula, Kuosha Vyombo na Kuzurula tu kuangalia pale Ukumbini nani hajala au hajapata Kinywaji au ameshavimbiwa na Chakula kwa Uroho ( Umelo ) wake anataka kwenda Kunya ( Kuukweka ) Chooni na tunatakiwa Kuwaelekeza vilipo.
Je, yote haya yanampendeza Maulana?
Katika Kamati mbalimbali za Jumuiya za Makanisa ( hasa langu la Katoliki ) Viongozi Wakuu wa Kamati hizo ni Watu wenye Hadhi za Kiuweledi Maofisini Kwao ila wale wasiokuwa nacho na ni Wafanyakazi wa Kawaida tu huwa hawapewi au hata hawachaguliwi katika nafasi za Kinyadhifa.
Katika Kamati mbalimbali za Sherehe ( hasa Harusi ) wale Wajumbe wa Kamati hizo huwa ni Watu wenye Pesa au Umaarufu fulani pia ila wale wasiokuwa nacho ( akina GENTAMYCINE ) tutapangiwa tu Kunawisha Mikono Wageni, Kuzoa Makombo yao ya Chakula, Kuosha Vyombo na Kuzurula tu kuangalia pale Ukumbini nani hajala au hajapata Kinywaji au ameshavimbiwa na Chakula kwa Uroho ( Umelo ) wake anataka kwenda Kunya ( Kuukweka ) Chooni na tunatakiwa Kuwaelekeza vilipo.
Je, yote haya yanampendeza Maulana?