Rafiki angu mmoja wazazi wake wawili wamefaliki yeye ndo mtoto wa kwanza wa kiume lakini pia ni mtoto wa kambo yani mama ake aliolewa na mwanaume mwingine baada ya kuachana na baba ake mzazi mama ake alikua mtumishi na alibahatika kuwa na nyumba na viwanja kwa majina yake na aliandika urithi na idadi ya watoto wake.
Aliepewa usimamizi wa mirathi baada ya wazazi kufariki ni dada wa rafiki yangu na mahakama ilimtaka kufikia mwezi wa kwanza mwaka huu arudishe majibu ya namna alivozigawa mali au walivokubaliana kama familia lakini mpaka sasa Msimamizi wa mirathi ambae ni dada mtu yupo kimya na ndugu wengine wapo kimya je kaka mtu anaweza chukua hatua gani kisheria ili apate haki yake?
Aliepewa usimamizi wa mirathi baada ya wazazi kufariki ni dada wa rafiki yangu na mahakama ilimtaka kufikia mwezi wa kwanza mwaka huu arudishe majibu ya namna alivozigawa mali au walivokubaliana kama familia lakini mpaka sasa Msimamizi wa mirathi ambae ni dada mtu yupo kimya na ndugu wengine wapo kimya je kaka mtu anaweza chukua hatua gani kisheria ili apate haki yake?