Je, uteuzi wa Biteko ni mwanzo wa mwisho wa Majaliwa?

Je, uteuzi wa Biteko ni mwanzo wa mwisho wa Majaliwa?

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
1693612744542.png

Kwa wanaojua kuwa cheo cha naibu waziri mkuu hakimo kwenye katiba yetu, wanahoji kunani ikulu hadi inavunja katiba? Je rais amemteua huyu mwanangu ili kumuandaa Majaliwa kuachia ngazi na Biteko kuchukua mikoba? Je anamuandalia mkwe wake Mchengerwa barabara ya kuwa waziri mkuu?

Je, imekuwaje Mchengerwa apelekwe maliasili na utalii ili asimamie miradi ya waarabu wa mamamkwe wake? Je wateule wake wengine wana udhu au ni kwa vile walipiga sana domo kuunga mkono dubai?
Je wewe unasemaje ikiwa ni njia ya kumshauri rais mama?
1693612833082.png
 
Back
Top Bottom