MR BINGO
JF-Expert Member
- Feb 12, 2016
- 1,164
- 2,500
kipi ni bora kwa uwekezaji TANZANIA kati ya kuwekeza katika biashara ya nyumba au kuwekeza katika mfuko wa hifadhi wa UTT??
Let's say una milion 30 ni bora ujengee nyumba in which utapata kodi labda ya 250k au ni bora uwekeze kwenye UTT in which ina return ya labda 1% per month ambayo ni kama 300k
Na kwa upande wa risk management pia naona kuwa it's less risky kuwekeza kwenye UTT kuliko kwenye numba kwa sababu in real estate kuna mambo ya kudeal na wapangaj(kuchelewesha kodi, eviction notices n.k)na kuna muda nyumba inakuwa haina mpangaji in which ni hasara kwa muwekezaji,pia kuna gharama za uendeshaji vitu kama kodi ya jengo na ardhi n.k
kipi ni bora UTT OR REAL ESTATE??
Let's say una milion 30 ni bora ujengee nyumba in which utapata kodi labda ya 250k au ni bora uwekeze kwenye UTT in which ina return ya labda 1% per month ambayo ni kama 300k
Na kwa upande wa risk management pia naona kuwa it's less risky kuwekeza kwenye UTT kuliko kwenye numba kwa sababu in real estate kuna mambo ya kudeal na wapangaj(kuchelewesha kodi, eviction notices n.k)na kuna muda nyumba inakuwa haina mpangaji in which ni hasara kwa muwekezaji,pia kuna gharama za uendeshaji vitu kama kodi ya jengo na ardhi n.k
kipi ni bora UTT OR REAL ESTATE??