Je veet ina madhara?

Je veet ina madhara?

nassa

Member
Joined
May 8, 2012
Posts
22
Reaction score
2
Samahan wana jf naomba kuuliza je ile veet dawa ya kuondoa vinyweleo ina madhara kwa mtumiaji?
 
mh leo naona kila ninapoingia naona GIZA tuu...
naona majanga
 
Mkuu kitu unapaka nywele zinatoka kwa hesabu za cheke chea tu hii kitu Ni balaa hauko mbali na cancer ya ngozi
 
Da e bwana, mimi nimetumia sana na nahisi ina madhara,especially kama unatumia sehemu za siri, muwasho na hofu ya kansa
 
Back
Top Bottom