Je, vijana wa kitanzania wanafahamu juu ya faida za kuwekeza katika umri mdogo?

Je, vijana wa kitanzania wanafahamu juu ya faida za kuwekeza katika umri mdogo?

Powell Gonzalez

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2023
Posts
843
Reaction score
1,630
picha na Google.com


Habari za Kazi Wana JF, niende Moja Kwa Moja kwenye mada.


Vijana wengi hatufahamu kabisa umuhimu WA kuinvest katika umri mdogo, miaka 20+/- ndio wakati sahihi wa Kuanza kufanya uwekezaji.

Hii ni Kwa kwa sababu zifuatazo;
1. Ni vizuri kupata uzoefu WA kutosha katika uwekezaji, hivyo ni vyema uanze kuwekeza katika umri mdogo ili kupata ujuzi na uzoefu WA kutosha.

2. Kupata nafasi nzuri ya kukuza mtaji.

3. Katika kipindi hiki ndio kipindi cha kutake risk as much as you can.

4. Inakupa MDA WA kutosha wa kijana kukuza mtaji wake na kufikia malengo ya kifedha.
Mimi nawashauri vijana wenzangu kujifunza zaidi kuhusu maswala ya uwekezaji katika huu umri mdogo Kwa faida za hapo baadae.

Siku Moja nilimsikia Jeff Bezos anasema Moja Kati ya vitu anavyovijutia ni kutokuwekeza mapema hasa katika kipindi cha miaka ishirini.Sifa ya Mtu mwekezaji ni kuwa anaithamini kesho yake, ndio maana anakubali kurisk milioni kadhaa Kwa kuwa anaamini baada ya Mda fulani thamani yake itaongezeka kuliko kama akiitumia au kuweka akiba.

Unaweza kusoma vitabu vya uwekezaji ili kukuza uelewa wako wa haya maswala au ukawasiliana watu wenye utaalam huu (hata Mimi bado ni beginner).

Kwa Kuanza unaweza kuwekeza katika;
1. Stock market(masoko ya hisa)

2. Bonds

3. Fixed deposits(Amanda za kudumu)

4. Real estate investment ( kuwekeza katika Mali zisizohamishika)

5. Exchange traded fund

Cha msingi NI kupata uelewa juu ya Aina ya uwekezaji,risk zake na kiwango chako cha kifedha.
Nimeanzisha hii, naamini wataalamu watakuja kutema madin, karibuni Sana wakuu Mimi bado Sana ndio Kwanza first year bachelor of business, hahah Ila najua humu kuna watu wanaojua karibuni Sana mshushe madini!

Raphael kalolo
student at CBE, bachelor degree in business administration
email; raphaelmathewkalolo@gmail.com
watsapp:0756401790
Instagram;View attachment 2680554raphaelkalolo23
 
Wabongo wanawaza ngono tu lini atawekeza
Kuwekeza kwa mda mrefu hawataki na sio mazoea yao
Njia ya mkato ndio zao kama kuiba
Ila wakianza kuzeeka ndio wanawasumbua watoto wetu ooh nilisoma na baba yako

Mara baba nimemsaidia mangapi, utafikiri deni
Vijana msisubiri umri unaenda kama una afya piga kazi wekeza ili baada ya miaka 20 mingine una kuwa hata na kiwanda kidogo au biashara kubwa na kuajiri watu
 
Wabongo wanawaza ngono tu lini atawekeza
Kuwekeza kwa mda mrefu hawataki na sio mazoea yao
Njia ya mkato ndio zao kama kuiba
Ila wakianza kuzeeka ndio wanawasumbua watoto wetu ooh nilisoma na baba yako

Mara baba nimemsaidia mangapi, utafikiri deni
Vijana msisubiri umri unaenda kama una afya piga kazi wekeza ili baada ya miaka 20 mingine una kuwa hata na kiwanda kidogo au biashara kubwa na kuajiri watu
Safi sana kaka
 
Safi sana kaka
Tuwakumbushe maana sisi miaka ya nyuma kulikuwa hakuna hata wa kukuambia zaidi ya mzazi na mzazi hakuambii kila kitu ila anachojua tu

Leo mpaka kuna mbinu za kupata hela
Biashara za kila aina na michango mingi na mawazo mengi unapata hata kama mtoto yuko shule leo unaweza kumhimiza kusomea kitu fulani ukijua akimaliza anajiajiri kwa elimu yake

Mimi nimekulia kwenye biashara kwa hiyo hela ilikuwa sio issue na maisha yalikuwa mazuri na utulivu
Leo najua maisha ila mengi nimejifunza nje pia
 
Tuwakumbushe maana sisi miaka ya nyuma kulikuwa hakuna hata wa kukuambia zaidi ya mzazi na mzazi hakuambii kila kitu ila anachojua tu

Leo mpaka kuna mbinu za kupata hela
Biashara za kila aina na michango mingi na mawazo mengi unapata hata kama mtoto yuko shule leo unaweza kumhimiza kusomea kitu fulani ukijua akimaliza anajiajiri kwa elimu yake

Mimi nimekulia kwenye biashara kwa hiyo hela ilikuwa sio issue na maisha yalikuwa mazuri na utulivu
Leo najua maisha ila mengi nimejifunza nje pia
asante mkuu Kwa ushauri mzuri!
 


Habari za Kazi Wana JF, niende Moja Kwa Moja kwenye mada.


Vijana wengi hatufahamu kabisa umuhimu WA kuinvest katika umri mdogo, miaka 20+/- ndio wakati sahihi wa Kuanza kufanya uwekezaji.

Hii ni Kwa kwa sababu zifuatazo;
1. Ni vizuri kupata uzoefu WA kutosha katika uwekezaji, hivyo ni vyema uanze kuwekeza katika umri mdogo ili kupata ujuzi na uzoefu WA kutosha.

2. Kupata nafasi nzuri ya kukuza mtaji.

3. Katika kipindi hiki ndio kipindi cha kutake risk as much as you can.

4. Inakupa MDA WA kutosha wa kijana kukuza mtaji wake na kufikia malengo ya kifedha.
Mimi nawashauri vijana wenzangu kujifunza zaidi kuhusu maswala ya uwekezaji katika huu umri mdogo Kwa faida za hapo baadae.

Siku Moja nilimsikia Jeff Bezos anasema Moja Kati ya vitu anavyovijutia ni kutokuwekeza mapema hasa katika kipindi cha miaka ishirini.Sifa ya Mtu mwekezaji ni kuwa anaithamini kesho yake, ndio maana anakubali kurisk milioni kadhaa Kwa kuwa anaamini baada ya Mda fulani thamani yake itaongezeka kuliko kama akiitumia au kuweka akiba.

Unaweza kusoma vitabu vya uwekezaji ili kukuza uelewa wako wa haya maswala au ukawasiliana watu wenye utaalam huu (hata Mimi bado ni beginner).

Kwa Kuanza unaweza kuwekeza katika;
1. Stock market(masoko ya hisa)

2. Bonds

3. Fixed deposits(Amanda za kudumu)

4. Real estate investment ( kuwekeza katika Mali zisizohamishika)

5. Exchange traded fund

Cha msingi NI kupata uelewa juu ya Aina ya uwekezaji,risk zake na kiwango chako cha kifedha.
Nimeanzisha hii, naamini wataalamu watakuja kutema madin, karibuni Sana wakuu Mimi bado Sana ndio Kwanza first year bachelor of business, hahah Ila najua humu kuna watu wanaojua karibuni Sana mshushe madini!

Raphael kalolo
student at CBE, bachelor degree in business administration
email; raphaelmathewkalolo@gmail.com
watsapp:0756401790
Instagram;View attachment 2680554raphaelkalolo23
Hapo uwekezaji bora ni Real Estate tu.
 
NI USHAURI MZURI ILA UKUMBUKE KWA TANZANIA UMRI HUO KIJANA BADO YUPO KWENYE MASOMO NA AKIMALIZA HAPO MPAKA AJITAFUTE AJIPATE ANAKARIBIA 30.
Ndio maana UTT AMIS imerahisisha mambo, uzuri wa kuwekeza na UTT AMIS ni kwamba Unakuwa na freedom ya kutosha
 
Back
Top Bottom