Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,215
- 3,076
labda walipewa kama msaada..trademark signature ya muafrika..hahaana mim juzi nimekutana na vijana wawili wa kitanzania wamevaa suti nzima ni bendera ya marekani...
kweli nilishangaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
labda walipewa kama msaada..trademark signature ya muafrika..hahaana mim juzi nimekutana na vijana wawili wa kitanzania wamevaa suti nzima ni bendera ya marekani...
kweli nilishangaa
lazima aweke hiyo bendera maana anatumia ancient jewish literature kama nyenzo ya kujipatia mkate wake wa kila siku..akili kumkichwa.Mzee wa Upako nyuma ya stage yake kuna bonge la bendera ya Israel fanya masihala nini taifa la mungu lile ukiona hawatutaki basi hata mungu hatutaki tehe tehe wazee wa kuipaisha israel mpooo
na nyie si mnabeba bendera zao kwene magari yenu. miafrika bana..sasa mnalalamika nini? nchi zenu mmewapa watu wapuuzi kama magamba ili wawaongoze na in return wanaletea ufukara wa kutupa, baada ya kuona nchi zenu hazikaliki due to your own stupid decisions/indecision mnaona solution ni kuhamia kwa wengine..hawaezi kukubali. call them racists or whatever, they won't entertain you.
Mzee wa Upako nyuma ya stage yake kuna bonge la bendera ya Israel fanya masihala nini taifa la mungu lile ukiona hawatutaki basi hata mungu hatutaki tehe tehe wazee wa kuipaisha israel mpooo
sio sent tu ..received pia
wanajua kuwa hili sio bara lao?jana nimeskiza amka na bbc na wamoroko nao wanatubagua(they call us slaves)
na mim juzi nimekutana na vijana wawili wa kitanzania wamevaa suti nzima ni bendera ya marekani...
Kweli nilishangaa