Je Waarabu hawajui Adui Yao?

Je Waarabu hawajui Adui Yao?

Sela Son

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
3,120
Reaction score
7,317
Hakika kinachoendelea Syria kinatisha, Waarabu wameendelea kutokujua adui yao namba moja ni nani! Ili washughulike nae bado hawajajiuliza vyema na kujibu swali hili ipaswavyo. Je ni Iran, je ni Urusi! Je ni misimamo Yao ya kidini au ni Marekani na washirika wao ikiwemo Israel?
Ni ajabu Waarabu wamekuwa wakipigania kitu ambacho hakijawahi kuwa ni jambo safi kwao! Kinawaangamiza na kuwatafuna. swala la demokrasia ya Kimagharibi ! Demokrasia inayowataka wao kuwa wapiga kelele bila kushughulikiwa na watawala, demokrasia inayowafanya wavae kama wamagharibi, waoane wa kiume na kiume na wa kike aolewe na wa kike mwenzake. Haya yote si jadi yao, wao ni wafuasi wa Uislam na ajabu zaidi Uislam hautaki na hautoi uhuru huo wa kidemokrasia ya kimagharibi wautakao.

Kama ni uongo nitajie nchi moja tu ya kiarabu inayofuata mrengo wa demokrasia ya kweli ya kimagharibi na Haina makelele.
Ajabu ni kwamba katika upiganiaji huu wa uhuru mpya wa kidemokrasia wanashindwa kupigana wakiwa neutral. Imekua ni lazima wajifungamanishe vilivyo, na dini hiyo ya Kiislam. Hapa utaona makundi mbalimbali yenye silaha kama FSA wakipigana dhidi jeshi la Syria, utaona pia ISIS, Al Qaeda, nk.
Wengi wa makundi haya hufadhiliwa na US, Israel, Ufaransa, Uingereza , Turkey ,Qatar, Saudia nk. Makundi yote haya wana silaha nzito lengo lao ni kuziondoa serikali zao za kiimla utaona Kule Libya na Egypt lakini wanapoingia madarakani hakuna wanachobadilisha. Hali za kiuchumi huwa ni mbaya zaidi, hali za kibinadamu mbaya zaidi, watu huchinjwa kama kuku.

Waarabu hawana malengo ya pamoja ya kuunganisha jamii zao zenye dini tofauti na misimamo tofauti kujenga nchi zao ziwe bora zaidi kijeshi, kiuchumi, na kijamii. Wanajisahau hata Wamarekani kuna jamii mamia zenye dini, mirengo, na itikadi tofauti lakini linapokuja swala la utaifa na utambulisho wao si dini wala U -democratic au U- Republic huyumbisha Imani ya kuijenga Marekani iliyo na nguvu zaidi kijeshi, kisasa na kiuchumi kuliko yeyote duniani.

Je ni kweli Waarabu hawajui adui yao namba moja, Waarabu wa Leo ni walaini laini. Hawana nguvu ! Wao Kila kitu kisemwacho na US ni ndio. Hebu ona hili. Kwani unafikiri Kuwait, SaudiArabia, na Qatar ni nchi ambazo Marekani inazipenda sana kwasababu wanafuata demokrasia ya Kimagharibi? Jibu ni Hapana yenye Herufi kubwa. Yes Hapana.
Wamarekani wameshawafunga Kwa kuhakikisha hawataenda kinyume na maslahi yao. Ndio maana hapo Saudia watu huchinjwa vibaya Kwa makosa ya uzinifu na pengine hisia za upinzani dhidi ya ufame huo!

Lakini je uliwahi kusikia Wamagharibi wakipiga kelele kubwa na nzito juu ya uvunjifu mkubwa wa amani ufanywao na taifa hili?
Syria juzi Kwa msaada mkubwa wa Silaha na Intelijensia kutoka Marekani ,wamemuondoa kiongozi wao aliyeongoza kwa muda mrefu kabisa miaka ishirini na nne,wanasahau kwamba Marekani anaupinga utawala wa Syria wa miaka 53 lakini Mmarekani huyohuyo anaushabikia kuukumbatia na kuuenzi utawala wa kimabavu wa Qatar, Kuwait, Oman na UAE wa miaka nenda rudi.

Je halitoshi kuwa fundisho Kwa Waarabu wengine wote kwamba kuwa against US ni sumu kuu ? Kwamba ukiamua hivyo kuwa tayari Kwa uasi, vita na vikwazo?
Je halitoshi hili kuwa ni fundisho waungane zaidi kujenga zaidi mataifa yao?

Baada ya serikali ya Syria kuanguka Israel iliamua kuingia Syria kama sehemu ya uwanja wa bibi. Syria imesambaratika , Syria Haina jeshi tena, silaha zote maelfu za former Syrian Army zinashambuliwa kuangamizwa ziishe kabisa. Kwa wenye akili taifa kama Syria kuongozwa na Wanamgambo ni fedheha. Fedheha kuu isiyomithilika.

Je hili halitoshi kuwa fundisho kwao kwamba adui yao hakuwa Assad?
Ni huzuni kubwa Leo Syria taifa kubwa la kihistoria dahari Kwa dahari haina jeshi la ulinzi. Ajabu ni kwamba Kwa kujua au kutokujua Waarabu wanashangilia.
Poleni sana Waarabu!
Karibuni sana.
Mwisho.
 
Hakika kinachoendelea Syria kinatisha, Waarabu wameendelea kutokujua adui yao namba moja ni nani! Ili washughulike nae bado hawajajiuliza vyema na kujibu swali hili ipaswavyo. Je ni Iran, je ni Urusi! Je ni misimamo Yao ya kidini au ni Marekani na washirika wao ikiwemo Israel?
Ni ajabu Waarabu wamekuwa wakipigania kitu ambacho hakijawahi kuwa ni jambo safi kwao! Kinawaangamiza na kuwatafuna. swala la demokrasia ya Kimagharibi ! Demokrasia inayowataka wao kuwa wapiga kelele bila kushughulikiwa na watawala, demokrasia inayowafanya wavae kama wamagharibi, waoane wa kiume na kiume na wa kike aolewe na wa kike mwenzake. Haya yote si jadi yao, wao ni wafuasi wa Uislam na ajabu zaidi Uislam hautaki na hautoi uhuru huo wa kidemokrasia ya kimagharibi wautakao.

Kama ni uongo nitajie nchi moja tu ya kiarabu inayofuata mrengo wa demokrasia ya kweli ya kimagharibi na Haina makelele.
Ajabu ni kwamba katika upiganiaji huu wa uhuru mpya wa kidemokrasia wanashindwa kupigana wakiwa neutral. Imekua ni lazima wajifungamanishe vilivyo, na dini hiyo ya Kiislam. Hapa utaona makundi mbalimbali yenye silaha kama FSA wakipigana dhidi jeshi la Syria, utaona pia ISIS, Al Qaeda, nk.
Wengi wa makundi haya hufadhiliwa na US, Israel, Ufaransa, Uingereza , Turkey ,Qatar, Saudia nk. Makundi yote haya wana silaha nzito lengo lao ni kuziondoa serikali zao za kiimla utaona Kule Libya na Egypt lakini wanapoingia madarakani hakuna wanachobadilisha. Hali za kiuchumi huwa ni mbaya zaidi, hali za kibinadamu mbaya zaidi, watu huchinjwa kama kuku.

Waarabu hawana malengo ya pamoja ya kuunganisha jamii zao zenye dini tofauti na misimamo tofauti kujenga nchi zao ziwe bora zaidi kijeshi, kiuchumi, na kijamii. Wanajisahau hata Wamarekani kuna jamii mamia zenye dini, mirengo, na itikadi tofauti lakini linapokuja swala la utaifa na utambulisho wao si dini wala U -democratic au U- Republic huyumbisha Imani ya kuijenga Marekani iliyo na nguvu zaidi kijeshi, kisasa na kiuchumi kuliko yeyote duniani.

Je ni kweli Waarabu hawajui adui yao namba moja, Waarabu wa Leo ni walaini laini. Hawana nguvu ! Wao Kila kitu kisemwacho na US ni ndio. Hebu ona hili. Kwani unafikiri Kuwait, SaudiArabia, na Qatar ni nchi ambazo Marekani inazipenda sana kwasababu wanafuata demokrasia ya Kimagharibi? Jibu ni Hapana yenye Herufi kubwa. Yes Hapana.
Wamarekani wameshawafunga Kwa kuhakikisha hawataenda kinyume na maslahi yao. Ndio maana hapo Saudia watu huchinjwa vibaya Kwa makosa ya uzinifu na pengine hisia za upinzani dhidi ya ufame huo!

Lakini je uliwahi kusikia Wamagharibi wakipiga kelele kubwa na nzito juu ya uvunjifu mkubwa wa amani ufanywao na taifa hili?
Syria juzi Kwa msaada mkubwa wa Silaha na Intelijensia kutoka Marekani ,wamemuondoa kiongozi wao aliyeongoza kwa muda mrefu kabisa miaka ishirini na nne,wanasahau kwamba Marekani anaupinga utawala wa Syria wa miaka 53 lakini Mmarekani huyohuyo anaushabikia kuukumbatia na kuuenzi utawala wa kimabavu wa Qatar, Kuwait, Oman na UAE wa miaka nenda rudi.

Je halitoshi kuwa fundisho Kwa Waarabu wengine wote kwamba kuwa against US ni sumu kuu ? Kwamba ukiamua hivyo kuwa tayari Kwa uasi, vita na vikwazo?
Je halitoshi hili kuwa ni fundisho waungane zaidi kujenga zaidi mataifa yao?

Baada ya serikali ya Syria kuanguka Israel iliamua kuingia Syria kama sehemu ya uwanja wa bibi. Syria imesambaratika , Syria Haina jeshi tena, silaha zote maelfu za former Syrian Army zinashambuliwa kuangamizwa ziishe kabisa. Kwa wenye akili taifa kama Syria kuongozwa na Wanamgambo ni fedheha. Fedheha kuu isiyomithilika.

Je hili halitoshi kuwa fundisho kwao kwamba adui yao hakuwa Assad?
Ni huzuni kubwa Leo Syria taifa kubwa la kihistoria dahari Kwa dahari haina jeshi la ulinzi. Ajabu ni kwamba Kwa kujua au kutokujua Waarabu wanashangilia.
Poleni sana Waarabu!
Karibuni sana.
Mwisho.
Wasio na akili wakigombanishwa hadi na wazazi wao wanaona ni sawa tu. Kama mtu anaweza kumchinja mwanawe au kumpiga mawe ndugu yake hadi kufa kisa dini unafikiri huyo yuko sawasawa kiakili?
 
Waarabu demokrasia sio kitu chao.

Kuna baadhi ya jamii mifumo fulani haiendani kabisa na mtindo mzima wa wa maisha wa jamii yao.
Naunga mkono hoja. Hawauwezi kabisa mfumo huo
 
Hakika kinachoendelea Syria kinatisha, Waarabu wameendelea kutokujua adui yao namba moja ni nani! Ili washughulike nae bado hawajajiuliza vyema na kujibu swali hili ipaswavyo. Je ni Iran, je ni Urusi! Je ni misimamo Yao ya kidini au ni Marekani na washirika wao ikiwemo Israel?
Ni ajabu Waarabu wamekuwa wakipigania kitu ambacho hakijawahi kuwa ni jambo safi kwao! Kinawaangamiza na kuwatafuna. swala la demokrasia ya Kimagharibi ! Demokrasia inayowataka wao kuwa wapiga kelele bila kushughulikiwa na watawala, demokrasia inayowafanya wavae kama wamagharibi, waoane wa kiume na kiume na wa kike aolewe na wa kike mwenzake. Haya yote si jadi yao, wao ni wafuasi wa Uislam na ajabu zaidi Uislam hautaki na hautoi uhuru huo wa kidemokrasia ya kimagharibi wautakao.

Kama ni uongo nitajie nchi moja tu ya kiarabu inayofuata mrengo wa demokrasia ya kweli ya kimagharibi na Haina makelele.
Ajabu ni kwamba katika upiganiaji huu wa uhuru mpya wa kidemokrasia wanashindwa kupigana wakiwa neutral. Imekua ni lazima wajifungamanishe vilivyo, na dini hiyo ya Kiislam. Hapa utaona makundi mbalimbali yenye silaha kama FSA wakipigana dhidi jeshi la Syria, utaona pia ISIS, Al Qaeda, nk.
Wengi wa makundi haya hufadhiliwa na US, Israel, Ufaransa, Uingereza , Turkey ,Qatar, Saudia nk. Makundi yote haya wana silaha nzito lengo lao ni kuziondoa serikali zao za kiimla utaona Kule Libya na Egypt lakini wanapoingia madarakani hakuna wanachobadilisha. Hali za kiuchumi huwa ni mbaya zaidi, hali za kibinadamu mbaya zaidi, watu huchinjwa kama kuku.

Waarabu hawana malengo ya pamoja ya kuunganisha jamii zao zenye dini tofauti na misimamo tofauti kujenga nchi zao ziwe bora zaidi kijeshi, kiuchumi, na kijamii. Wanajisahau hata Wamarekani kuna jamii mamia zenye dini, mirengo, na itikadi tofauti lakini linapokuja swala la utaifa na utambulisho wao si dini wala U -democratic au U- Republic huyumbisha Imani ya kuijenga Marekani iliyo na nguvu zaidi kijeshi, kisasa na kiuchumi kuliko yeyote duniani.

Je ni kweli Waarabu hawajui adui yao namba moja, Waarabu wa Leo ni walaini laini. Hawana nguvu ! Wao Kila kitu kisemwacho na US ni ndio. Hebu ona hili. Kwani unafikiri Kuwait, SaudiArabia, na Qatar ni nchi ambazo Marekani inazipenda sana kwasababu wanafuata demokrasia ya Kimagharibi? Jibu ni Hapana yenye Herufi kubwa. Yes Hapana.
Wamarekani wameshawafunga Kwa kuhakikisha hawataenda kinyume na maslahi yao. Ndio maana hapo Saudia watu huchinjwa vibaya Kwa makosa ya uzinifu na pengine hisia za upinzani dhidi ya ufame huo!

Lakini je uliwahi kusikia Wamagharibi wakipiga kelele kubwa na nzito juu ya uvunjifu mkubwa wa amani ufanywao na taifa hili?
Syria juzi Kwa msaada mkubwa wa Silaha na Intelijensia kutoka Marekani ,wamemuondoa kiongozi wao aliyeongoza kwa muda mrefu kabisa miaka ishirini na nne,wanasahau kwamba Marekani anaupinga utawala wa Syria wa miaka 53 lakini Mmarekani huyohuyo anaushabikia kuukumbatia na kuuenzi utawala wa kimabavu wa Qatar, Kuwait, Oman na UAE wa miaka nenda rudi.

Je halitoshi kuwa fundisho Kwa Waarabu wengine wote kwamba kuwa against US ni sumu kuu ? Kwamba ukiamua hivyo kuwa tayari Kwa uasi, vita na vikwazo?
Je halitoshi hili kuwa ni fundisho waungane zaidi kujenga zaidi mataifa yao?

Baada ya serikali ya Syria kuanguka Israel iliamua kuingia Syria kama sehemu ya uwanja wa bibi. Syria imesambaratika , Syria Haina jeshi tena, silaha zote maelfu za former Syrian Army zinashambuliwa kuangamizwa ziishe kabisa. Kwa wenye akili taifa kama Syria kuongozwa na Wanamgambo ni fedheha. Fedheha kuu isiyomithilika.

Je hili halitoshi kuwa fundisho kwao kwamba adui yao hakuwa Assad?
Ni huzuni kubwa Leo Syria taifa kubwa la kihistoria dahari Kwa dahari haina jeshi la ulinzi. Ajabu ni kwamba Kwa kujua au kutokujua Waarabu wanashangilia.
Poleni sana Waarabu!
Karibuni sana.
Mwisho.
Waarabu wameshakuwa 'compromised' na mabeberu wa magharibi.
 
Warabu wanamsemo aliye letwa kwa vifaru vya foreigners hawamtambui.
Uturukinl hapo middle east Ndio Watu wageni na waliletwa na Waarabu kupigana vita vya wenyewe kwa wenyewe.

Nikwambie hivi Waarabu hawatakuja kuwa na Amani kwa mipaka ya sasa

Waarabu waliwasaliti Ottomans, na wazungu wawili wakaigawanya middle east hili Miaka yote iwe na vita.. sababu Waarabu Wana tabia ya Ukabila/Ukoo na Udini.

Wazungu wakawaweka Watu maadui kwenye nchi Moja na walifanya hivi nchi zote middle east zote..

Kila nchi ya middle east ukiingalia utaona inatakiwa kugawanywa hili wasiuwane
 
Kuna mataifa duniani hawawezi kufurahia Hadi uwe kama wao au uwatii wao, huo ni mtego ambao unahitaji akili kubwa yenye utulivu Ili uutatue...
 
Hakika kinachoendelea Syria kinatisha, Waarabu wameendelea kutokujua adui yao namba moja ni nani! Ili washughulike nae bado hawajajiuliza vyema na kujibu swali hili ipaswavyo. Je ni Iran, je ni Urusi! Je ni misimamo Yao ya kidini au ni Marekani na washirika wao ikiwemo Israel?
Ni ajabu Waarabu wamekuwa wakipigania kitu ambacho hakijawahi kuwa ni jambo safi kwao! Kinawaangamiza na kuwatafuna. swala la demokrasia ya Kimagharibi ! Demokrasia inayowataka wao kuwa wapiga kelele bila kushughulikiwa na watawala, demokrasia inayowafanya wavae kama wamagharibi, waoane wa kiume na kiume na wa kike aolewe na wa kike mwenzake. Haya yote si jadi yao, wao ni wafuasi wa Uislam na ajabu zaidi Uislam hautaki na hautoi uhuru huo wa kidemokrasia ya kimagharibi wautakao.

Kama ni uongo nitajie nchi moja tu ya kiarabu inayofuata mrengo wa demokrasia ya kweli ya kimagharibi na Haina makelele.
Ajabu ni kwamba katika upiganiaji huu wa uhuru mpya wa kidemokrasia wanashindwa kupigana wakiwa neutral. Imekua ni lazima wajifungamanishe vilivyo, na dini hiyo ya Kiislam. Hapa utaona makundi mbalimbali yenye silaha kama FSA wakipigana dhidi jeshi la Syria, utaona pia ISIS, Al Qaeda, nk.
Wengi wa makundi haya hufadhiliwa na US, Israel, Ufaransa, Uingereza , Turkey ,Qatar, Saudia nk. Makundi yote haya wana silaha nzito lengo lao ni kuziondoa serikali zao za kiimla utaona Kule Libya na Egypt lakini wanapoingia madarakani hakuna wanachobadilisha. Hali za kiuchumi huwa ni mbaya zaidi, hali za kibinadamu mbaya zaidi, watu huchinjwa kama kuku.

Waarabu hawana malengo ya pamoja ya kuunganisha jamii zao zenye dini tofauti na misimamo tofauti kujenga nchi zao ziwe bora zaidi kijeshi, kiuchumi, na kijamii. Wanajisahau hata Wamarekani kuna jamii mamia zenye dini, mirengo, na itikadi tofauti lakini linapokuja swala la utaifa na utambulisho wao si dini wala U -democratic au U- Republic huyumbisha Imani ya kuijenga Marekani iliyo na nguvu zaidi kijeshi, kisasa na kiuchumi kuliko yeyote duniani.

Je ni kweli Waarabu hawajui adui yao namba moja, Waarabu wa Leo ni walaini laini. Hawana nguvu ! Wao Kila kitu kisemwacho na US ni ndio. Hebu ona hili. Kwani unafikiri Kuwait, SaudiArabia, na Qatar ni nchi ambazo Marekani inazipenda sana kwasababu wanafuata demokrasia ya Kimagharibi? Jibu ni Hapana yenye Herufi kubwa. Yes Hapana.
Wamarekani wameshawafunga Kwa kuhakikisha hawataenda kinyume na maslahi yao. Ndio maana hapo Saudia watu huchinjwa vibaya Kwa makosa ya uzinifu na pengine hisia za upinzani dhidi ya ufame huo!

Lakini je uliwahi kusikia Wamagharibi wakipiga kelele kubwa na nzito juu ya uvunjifu mkubwa wa amani ufanywao na taifa hili?
Syria juzi Kwa msaada mkubwa wa Silaha na Intelijensia kutoka Marekani ,wamemuondoa kiongozi wao aliyeongoza kwa muda mrefu kabisa miaka ishirini na nne,wanasahau kwamba Marekani anaupinga utawala wa Syria wa miaka 53 lakini Mmarekani huyohuyo anaushabikia kuukumbatia na kuuenzi utawala wa kimabavu wa Qatar, Kuwait, Oman na UAE wa miaka nenda rudi.

Je halitoshi kuwa fundisho Kwa Waarabu wengine wote kwamba kuwa against US ni sumu kuu ? Kwamba ukiamua hivyo kuwa tayari Kwa uasi, vita na vikwazo?
Je halitoshi hili kuwa ni fundisho waungane zaidi kujenga zaidi mataifa yao?

Baada ya serikali ya Syria kuanguka Israel iliamua kuingia Syria kama sehemu ya uwanja wa bibi. Syria imesambaratika , Syria Haina jeshi tena, silaha zote maelfu za former Syrian Army zinashambuliwa kuangamizwa ziishe kabisa. Kwa wenye akili taifa kama Syria kuongozwa na Wanamgambo ni fedheha. Fedheha kuu isiyomithilika.

Je hili halitoshi kuwa fundisho kwao kwamba adui yao hakuwa Assad?
Ni huzuni kubwa Leo Syria taifa kubwa la kihistoria dahari Kwa dahari haina jeshi la ulinzi. Ajabu ni kwamba Kwa kujua au kutokujua Waarabu wanashangilia.
Poleni sana Waarabu!
Karibuni sana.
Mwisho.
Kwa hiyo maoni yako ni kwamba wajifungamamishe na Marekani na kutii kila wazo litakaloamriwa kutoka huko?

Hawana jambo jengine la kuwatoa hapo walipo?

Tawala zao za kiimla, kiukoo na kifalme, wewe unaziona zipo sawa?
 
Hakika kinachoendelea Syria kinatisha, Waarabu wameendelea kutokujua adui yao namba moja ni nani! Ili washughulike nae bado hawajajiuliza vyema na kujibu swali hili ipaswavyo. Je ni Iran, je ni Urusi! Je ni misimamo Yao ya kidini au ni Marekani na washirika wao ikiwemo Israel?
Ni ajabu Waarabu wamekuwa wakipigania kitu ambacho hakijawahi kuwa ni jambo safi kwao! Kinawaangamiza na kuwatafuna. swala la demokrasia ya Kimagharibi ! Demokrasia inayowataka wao kuwa wapiga kelele bila kushughulikiwa na watawala, demokrasia inayowafanya wavae kama wamagharibi, waoane wa kiume na kiume na wa kike aolewe na wa kike mwenzake. Haya yote si jadi yao, wao ni wafuasi wa Uislam na ajabu zaidi Uislam hautaki na hautoi uhuru huo wa kidemokrasia ya kimagharibi wautakao.

Kama ni uongo nitajie nchi moja tu ya kiarabu inayofuata mrengo wa demokrasia ya kweli ya kimagharibi na Haina makelele.
Ajabu ni kwamba katika upiganiaji huu wa uhuru mpya wa kidemokrasia wanashindwa kupigana wakiwa neutral. Imekua ni lazima wajifungamanishe vilivyo, na dini hiyo ya Kiislam. Hapa utaona makundi mbalimbali yenye silaha kama FSA wakipigana dhidi jeshi la Syria, utaona pia ISIS, Al Qaeda, nk.
Wengi wa makundi haya hufadhiliwa na US, Israel, Ufaransa, Uingereza , Turkey ,Qatar, Saudia nk. Makundi yote haya wana silaha nzito lengo lao ni kuziondoa serikali zao za kiimla utaona Kule Libya na Egypt lakini wanapoingia madarakani hakuna wanachobadilisha. Hali za kiuchumi huwa ni mbaya zaidi, hali za kibinadamu mbaya zaidi, watu huchinjwa kama kuku.

Waarabu hawana malengo ya pamoja ya kuunganisha jamii zao zenye dini tofauti na misimamo tofauti kujenga nchi zao ziwe bora zaidi kijeshi, kiuchumi, na kijamii. Wanajisahau hata Wamarekani kuna jamii mamia zenye dini, mirengo, na itikadi tofauti lakini linapokuja swala la utaifa na utambulisho wao si dini wala U -democratic au U- Republic huyumbisha Imani ya kuijenga Marekani iliyo na nguvu zaidi kijeshi, kisasa na kiuchumi kuliko yeyote duniani.

Je ni kweli Waarabu hawajui adui yao namba moja, Waarabu wa Leo ni walaini laini. Hawana nguvu ! Wao Kila kitu kisemwacho na US ni ndio. Hebu ona hili. Kwani unafikiri Kuwait, SaudiArabia, na Qatar ni nchi ambazo Marekani inazipenda sana kwasababu wanafuata demokrasia ya Kimagharibi? Jibu ni Hapana yenye Herufi kubwa. Yes Hapana.
Wamarekani wameshawafunga Kwa kuhakikisha hawataenda kinyume na maslahi yao. Ndio maana hapo Saudia watu huchinjwa vibaya Kwa makosa ya uzinifu na pengine hisia za upinzani dhidi ya ufame huo!

Lakini je uliwahi kusikia Wamagharibi wakipiga kelele kubwa na nzito juu ya uvunjifu mkubwa wa amani ufanywao na taifa hili?
Syria juzi Kwa msaada mkubwa wa Silaha na Intelijensia kutoka Marekani ,wamemuondoa kiongozi wao aliyeongoza kwa muda mrefu kabisa miaka ishirini na nne,wanasahau kwamba Marekani anaupinga utawala wa Syria wa miaka 53 lakini Mmarekani huyohuyo anaushabikia kuukumbatia na kuuenzi utawala wa kimabavu wa Qatar, Kuwait, Oman na UAE wa miaka nenda rudi.

Je halitoshi kuwa fundisho Kwa Waarabu wengine wote kwamba kuwa against US ni sumu kuu ? Kwamba ukiamua hivyo kuwa tayari Kwa uasi, vita na vikwazo?
Je halitoshi hili kuwa ni fundisho waungane zaidi kujenga zaidi mataifa yao?

Baada ya serikali ya Syria kuanguka Israel iliamua kuingia Syria kama sehemu ya uwanja wa bibi. Syria imesambaratika , Syria Haina jeshi tena, silaha zote maelfu za former Syrian Army zinashambuliwa kuangamizwa ziishe kabisa. Kwa wenye akili taifa kama Syria kuongozwa na Wanamgambo ni fedheha. Fedheha kuu isiyomithilika.

Je hili halitoshi kuwa fundisho kwao kwamba adui yao hakuwa Assad?
Ni huzuni kubwa Leo Syria taifa kubwa la kihistoria dahari Kwa dahari haina jeshi la ulinzi. Ajabu ni kwamba Kwa kujua au kutokujua Waarabu wanashangilia.
Poleni sana Waarabu!
Karibuni sana.
Mwisho.
1. Mwaarabu hana akili, wauane wao halafu wawasingizie Marekani na washirika zake. Wewe ukamuue baba yako na mama yako halafu uwadanganye watu umedanganywa. Uwaite watu makafikiri halafu hao makafikiri ndiyo wakufadhili ukafanye ugaidi😀😀😀
Ukitaka kujua hawana akili angalia wafuasi wao, Zanzibar wakifunga wanatembea na mafimbo kuchapa watu wanaokula hadharani au kupika. Umefunga bado unapiga watu😀😀😀
2. Ni jamii ya watu wanaopenda kuana, vita na fujo. Mfano mzuri Sudani, Waarabu wanawaua watu weusi haijalishi ni dini gani ili wabaki wenyewe. Msumbiji (ISIS), Boko haramu (Nigeria), Syria, Libya.
3. Ubaguzi wa dini, katika watu wenye ubaguzi waarabu wa kidini mpaka race. Tunisia mhamiaji mweusi alichomwa na kisu na kufa kisa hawataki wahamiaji kwasababu wanaweza kuweka makazi na wakaishi na kuzaa na dada zao ila ajabu hao wahamiaji wakifika ulaya wanapewa uraia na makazi😕 Pakistani au Afghanistan washia na wasuni wameuana. Waislamu ukiwaambia ni nchi gani ungependa ukatafute ukaishi huko kama raia? Wengi watataja Marekani, Uingereza, Austaria, Canada, China
Hii dunia ingekuwa waarabu (nchi za waislamu) ndiyo super power watu ambao wangekuwa siyo waislamu wangekuwa wanauawawa na kubaguliwa hata kunyimwa huduma za kijamii kisa siyo waislamu. Wao wakiwa wengi wanapitisha sheria zao kama Zanzibar ila kamwe hutasikia hivyo kwenye nchi ambazo zina wakiristo wengi
 
Waarabu ni washenzi sana

Wana ROHO mbaya sana , chuki na visasi

Lakini pia hawana akili kama watanganyika wasivyo kuwa na akili
 
1. Mwaarabu hana akili, wauane wao halafu wawasingizie Marekani na washirika zake. Wewe ukamuue baba yako na mama yako halafu uwadanganye watu umedanganywa. Uwaite watu makafikiri halafu hao makafikiri ndiyo wakufadhili ukafanye ugaidi😀😀😀
Ukitaka kujua hawana akili angalia wafuasi wao, Zanzibar wakifunga wanatembea na mafimbo kuchapa watu wanaokula hadharani au kupika. Umefunga bado unapiga watu😀😀😀
2. Ni jamii ya watu wanaopenda kuana, vita na fujo. Mfano mzuri Sudani, Waarabu wanawaua watu weusi haijalishi ni dini gani ili wabaki wenyewe. Msumbiji (ISIS), Boko haramu (Nigeria), Syria, Libya.
3. Ubaguzi wa dini, katika watu wenye ubaguzi waarabu wa kidini mpaka race. Tunisia mhamiaji mweusi alichomwa na kisu na kufa kisa hawataki wahamiaji kwasababu wanaweza kuweka makazi na wakaishi na kuzaa na dada zao ila ajabu hao wahamiaji wakifika ulaya wanapewa uraia na makazi😕 Pakistani au Afghanistan washia na wasuni wameuana. Waislamu ukiwaambia ni nchi gani ungependa ukatafute ukaishi huko kama raia? Wengi watataja Marekani, Uingereza, Austaria, Canada, China
Hii dunia ingekuwa waarabu (nchi za waislamu) ndiyo super power watu ambao wangekuwa siyo waislamu wangekuwa wanauawawa na kubaguliwa hata kunyimwa huduma za kijamii kisa siyo waislamu. Wao wakiwa wengi wanapitisha sheria zao kama Zanzibar ila kamwe hutasikia hivyo kwenye nchi ambazo zina wakiristo wengi
Uzi ufungwe Sasa
Umemaliza

Shida ya waarabu ni ukabila na ubaguzi

Na kwao uislam siyo dini bali kwao dini ni madhehebu yao ya Suni na Shia
 
Back
Top Bottom