Je, Wabunge Wasaliti 19 watang'olewa Bungeni?

Je wakiondolewa!?wengine watateuliwa upya!?

Yaani Rais atateua wengine!?
Sifahamu kitakachojiri lakini Rais si mteuzi wa wabunge wa viti maalum , kwa vile sheria za Tanzania haziruhusu jambo hilo , viti maalum huteuliwa na vyama husika , huu ndio msingi wa mgogoro wa Halima Mdee na wenzake , Hawa waliteuliwa na Mahera na kuapishwa na Ndugai
 
How wapeleke wakati chadema hawatambui uchaguzi? Kwanza watambue uchaguzi ulikuwa huru na haki then ndio wafanye hayo mambo
Mtego huo, watatumia hoja gani kuukubali huo uchaguzi au ndio sehemu ya maridhiano?
 
Mkuu nakushukuru sana kwa ufafanuzi wako kwa P. Mayala.
 
Ukiwatoa hao na Siri zote za uchaguzi zitatoka sio kazi rahisi like the way unafikiria
Mara zote Shetani akishamtumikisha mtu humbwaga , halafu ni siri zipi walizonazo hawa ambazo hatuzijui ? mbona kila kitu kiko wazi !
 
Iv km wakifukuzwa ela zawalipa kodi watalipa nazo au ndo itakuwa imeisha iyo???
 
Nihivi huwezi kuruhusu shughuli za kisiasa zianze na msamiati wake pendwa wa maridhiano wakati bado kuna wanasiasa haramu ndani ya bunge letu

Ikiwa msingi wa maridhiano ni kutengeneza uhuru haki na usawa basi hata wabunge haramu hawapaswi kuendelea kura kodi zetu kanakwamba nikodi zisizo kuwa na mwenyewe
 

Mbona ruzuku mnachukua? Kama hao wabunge hamuwatambui mbona ruzuku zinazotokana na wao mnachukua

Chadema mnajikutaga kama watu ambao mnaweza kusimamisha inchi hivi

Makelele mengi kwenye keyboard, ground hakuna kitu

Si mnaanza mikutano ngoja uone kama watu watakuja kuwasikiliza
 
Kwamba CDM rasmi inamtambua sa100 baada ya maridhiano!!

Hapo sasa COVID wataondoka automatically. Bt b4 that zilikuwa kelele tu, wasingeondoka Hadi 2025.
Kwa vyovyote vile, tumeona mambo ya ajabu ajabu sana miaka hii ya karibuni. Hopefully huko mbele hayatajirudia!
 
Hao ni kibora ya CCM
 
Mkuu si utafute jambo jingine kwa maana hili kwanza liko mahakamani; pili hamna namna ya kuwatoa zaidi ya kulilia huruma za watu wengine ndiyo wawatoe; hawa 19 mpaka 2025 take my word
Tatizo sio tu Covid-19 waliokiuka taratibu za kuwateua/kubariki teuzi za wabunge hao,bali kuna vigogo wa Chadema wapo waliosaidia kuwapeleka bungeni,lakini mambo yalipobainika wakaingia mitini.
 
Tatizo sio tu Covid-19 waliokiuka taratibu za kuwateua/kubariki teuzi za wabunge hao,bali kuna vigogo wa Chadema wapo waliosaidia kuwapeleka bungeni,lakini mambo yalipobainika wakaingia mitini.
Kama kuna covid yeyote alikubali kupelekwa na kigogo wa chadema bungeni basi atakuwa fala sana ! Katiba ya Chadema hairuhusu jambo hilo na Halima Mdee akiwa kiongozi wa juu wa Chadema , alijua utaratibu .

Muapishe Mfungwa aliyetolewa Jela msingizie vigogo wa Chadema ! hata kama Watanzania ni mbumbumbu mzungu wa reli , ndio muwadanganye kibwege namna hii kweli !

Hivi Job Ndugai na Mahera ndio vigogo wa Chadema ?
 
Itabidi uvumilie tu hadi 2025
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…