Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Acha kuwa-judge na kuwapa labels watu kutokana na background zao.
Personal Priscus ashinde au ashindwe uchaguzi wa 2025 sikosi usingizi.
Lakini usiwaondelee watu credibility zao kwa sababu żako.
Mimi nipo kwangu Mtwara, siasa za Mikoa yote nafuatilia na nilicho kwambia ndio amin na kweli.
Endeleeni kupigwa tu hapo, Priscus aliahidi kumalizia ujenzi stendi ya Nganga-mfumini iliyoanza kujengwa na CHADEMA , amefikia wapi? Mabilioni ya fedha yamefia chini na ile ujenzi itabidi kila kitu kivunjwe waanze upya!
Naskia hapo stendi kama unaenda njor ile open space amempa jamaa ake ajenge kituo cha mafuta.
Okay kile ki sambusa[kipande cha ardhi] kama unatoka uhuru hostel kwenda mjini na kwenda KCMC naskia wamempa mmiliki mmoja wa kamuni ya utalii , mwenye asili ya kiasrabu, sijui inaitwa MALI TOURS?ni kweli?
Naskia Pale karibu na FIVE STARS HARDWARE kuna open space zamani kuna kanisa lilianzishwa likavunjwa, kuna mayor aliyefukuzwa amejimilikisha, ni kweli?
Endeleeni kupigwa tu hapo, Priscus aliahidi kumalizia ujenzi stendi ya Nganga-mfumini iliyoanza kujengwa na CHADEMA , amefikia wapi? Mabilioni ya fedha yamefia chini na ile ujenzi itabidi kila kitu kivunjwe waanze upya!
Naskia hapo stendi kama unaenda njor ile open space amempa jamaa ake ajenge kituo cha mafuta.
Okay kile ki sambusa[kipande cha ardhi] kama unatoka uhuru hostel kwenda mjini na kwenda KCMC naskia wamempa mmiliki mmoja wa kamuni ya utalii , mwenye asili ya kiasrabu, sijui inaitwa MALI TOURS?ni kweli?
Naskia Pale karibu na FIVE STARS HARDWARE kuna open space zamani kuna kanisa lilianzishwa likavunjwa, kuna mayor aliyefukuzwa amejimilikisha, ni kweli?