Je, wachawi wanao uwezo wa kusoma document zetu za siri?

Je, wachawi wanao uwezo wa kusoma document zetu za siri?

KISIWAGA

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2015
Posts
8,022
Reaction score
16,563
kwa wale wajuzi wa hii teknolojia ya uchawi je wachawi wanao uwezo wa kupekua documents zetu tunazokuwa tumezihifadhi mfano labda kuna namba za siri za ATM au m-pesa pindi wanapopata access ya kuingia vyumbani kwetu halafu kingine je wanao uwezo wa kusikia lugha za kishule hata kama hawana shule
 
H A W A N A huo uwezo

Ila wana uwezo wa kukuvuruga wewe uende ukatoe hela ATM na kisha uwapatie.....ila wao wachukue ATM halafu wakatoe hela hilo haliwezekani.....hata wajikusanye wachawi wa nchi nzima hawawezi...

InShort:: Mambo yote ya Msingi(ya kuwafanya wawe na maendeleo) wachawi hawawezi,,, ila ya kijinga kijinga yenye umasikini na kuletea taabu watu karibu yote wanayaweza....
 
H A W A N A huo uwezo

Ila wana uwezo wa kukuvuruga wewe uende ukatoe hela ATM na kisha uwapatie.....ila wao wachukue ATM halafu wakatoe hela hilo haliwezekani.....hata wajikusanye wachawi wa nchi nzima hawawezi...

InShort:: Mambo yote ya Msingi(ya kuwafanya wawe na maendeleo) wachawi hawawezi,,, ila ya kijinga kijinga yenye umasikini na kuletea taabu watu karibu yote wanayaweza....
Nachotaka kujua ni je wanao uwezo wa kunakiri documents muhimu kama passwords & namba za siri ili wakazitumie baadae kuhamisha mahela
 
Their concious level wakiwa wanachawia haitakiwi kuwa distracted na mawazo ya kuiba password, wakichanganya tu ile 'spell' inapoteza nguvu na hapo wataonekana na macho ya kawaida
Kwahiyo wakiingiliwa tu na mawazo ya ukibaka tayari wanaonekana kwenye CCTV camera
 
Nachotaka kujua ni je wanao uwezo wa kunakiri documents muhimu kama passwords & namba za siri ili wakazitumie baadae kuhamisha mahela
Wana uwezo wa kunakiri, maadili yao ya Kazi yao hayawaruhusu kuwa na maendeleo
 
H A W A N A huo uwezo

Ila wana uwezo wa kukuvuruga wewe uende ukatoe hela ATM na kisha uwapatie.....ila wao wachukue ATM halafu wakatoe hela hilo haliwezekani.....hata wajikusanye wachawi wa nchi nzima hawawezi...

InShort:: Mambo yote ya Msingi(ya kuwafanya wawe na maendeleo) wachawi hawawezi,,, ila ya kijinga kijinga yenye umasikini na kuletea taabu watu karibu yote wanayaweza....

Vipi mkuu kwenye lugha wanaweza mpaka kuelewa kijerumani endapo wakitembelea nyumba ambayo wakazi wake wanatapika kijerumani kitupu
 
Back
Top Bottom