Nachotaka kujua ni je wanao uwezo wa kunakiri documents muhimu kama passwords & namba za siri ili wakazitumie baadae kuhamisha mahelaH A W A N A huo uwezo
Ila wana uwezo wa kukuvuruga wewe uende ukatoe hela ATM na kisha uwapatie.....ila wao wachukue ATM halafu wakatoe hela hilo haliwezekani.....hata wajikusanye wachawi wa nchi nzima hawawezi...
InShort:: Mambo yote ya Msingi(ya kuwafanya wawe na maendeleo) wachawi hawawezi,,, ila ya kijinga kijinga yenye umasikini na kuletea taabu watu karibu yote wanayaweza....
Nachotaka kujua ni je wanao uwezo wa kunakiri documents muhimu kama passwords & namba za siri ili wakazitumie baadae
Kwahiyo wakiingiliwa tu na mawazo ya ukibaka tayari wanaonekana kwenye CCTV cameraTheir concious level wakiwa wanachawia haitakiwi kuwa distracted na mawazo ya kuiba password, wakichanganya tu ile 'spell' inapoteza nguvu na hapo wataonekana na macho ya kawaida
Wana uwezo wa kunakiri, maadili yao ya Kazi yao hayawaruhusu kuwa na maendeleoNachotaka kujua ni je wanao uwezo wa kunakiri documents muhimu kama passwords & namba za siri ili wakazitumie baadae kuhamisha mahela
Kwahiyo kumbe passwords zetu muhimu na documents zetu nyingine muhimu ziko uchi mbele ya hawa majamaaWana uwezo wa kunakiri, maadili yao ya Kazi yao hayawaruhusu kuwa na maendeleo
H A W A N A huo uwezo
Ila wana uwezo wa kukuvuruga wewe uende ukatoe hela ATM na kisha uwapatie.....ila wao wachukue ATM halafu wakatoe hela hilo haliwezekani.....hata wajikusanye wachawi wa nchi nzima hawawezi...
InShort:: Mambo yote ya Msingi(ya kuwafanya wawe na maendeleo) wachawi hawawezi,,, ila ya kijinga kijinga yenye umasikini na kuletea taabu watu karibu yote wanayaweza....
Lakini akili ya kutoa pesa hawana,wao wanayo ya kuingia ndani tuKwahiyo kumbe passwords zetu muhimu na documents zetu nyingine muhimu ziko uchi mbele ya hawa majamaa