Hii ndo.siri kubwa na ushauri wa bure.Huta pata ushauri huu hospitali but ndo muarobaini wa tatizo lako.
1:Anza kula ugali wa dona yaani unga wa mahindi yasiyo kobolewa
2:kama utakuwa na uwezo wasi jitahidi angalau mara moja kwa wiki kula mchanganyiko wa mchemsho wa mboga za majani zifuatazo(coliflower,brocoli,kabichi,biringanya isiyomenywa maganda,nyanya chungu,green beans,karoti isiyomenywa maganda,bamia ).Chemsha kwa moto wa wastani kwa dakika zisizo zidi kumi.lazima kibakie na ubichi ubichi.Tatizo lako ni kwamba unakosa fibre katika milo yako ambapo husababishwa na kukoboa nafaka na ukosefu wa matunda na mboga za majani.
Ukishindwa point namba mbili kwa sababu ya kipatobasi point ya kwanza ni muhimu zaidi itamaliza tatizo lako
Fuata ushauri huo upone na kuishi kwa furaha